mikedean
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 3,271
- 4,654
Natamani nifike mahala hapo.Nani humu ashawahi fika kwenye kisiwa hiki kidogo cha Bongoyo.Kiko pembezoni mwa Masaki.Na je unafikaje kule?kuna kulipia kama utalii wa ndani au ni nauli yangu tu.Na nauli ni sh.ngapi? Inaonekana ni mahala pema sana hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app

