Kisim Changu Kidogodogo Kinanisevu... πŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈ

Kisim Changu Kidogodogo Kinanisevu... πŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈ

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,805
Reaction score
43,230
Usiniguse nimelewa mie...
Pombe yangu ukimwaga utalipa weyee
Nasema ukichukua kisim changu na mziki utazimwaa.....



Iko hivii, wee bibi cheza singeli ooh mziki wa singeli....
Kasie naruka singeli....

Mwanzoni miziki ya aina hii nilikuwa naiona ya kihuni isiyofaa na watu wenye heshima na staha zao hawawezi kucheza miziki aina hii.

Ila..... siku nilipoingia ulingoni na kuhakikisha beat zinaendana na step zangu yaani hata kwenye gari naweka singeli......

Kuna ambao hawata nielewa msijali, hiki kisim changu kidogodogo kinansevu sana....

Nataka niache kulewa mie, niache na bangi mie... viroba tupa kulee ni mwendo wa safari na balimi πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½

Dadii, you are more than music to me, aaiiilaaabyuuuuu πŸ’‹πŸ’‹πŸ’‹.

K’ πŸ₯° Matata.
 
Nimekuja fasta nikidhani unazungumzia "Kisimi" kumbe kisim.

Aggggrrrr

Hivi visim vinatengenezwa na wachina nani anavitaka??? Mi napenda visimi vilivyotengenezwa na fundi mkuu, injinia mwandamizi wa Mbinguni asiyeenda likizo.

Walaaniwe wote wanaovifyekelea mbali hivi viungo adhimu vilivyowekwa kwa kazi maalum... hatutawapokea kwenye ufalme wa injinia mwandamizi
 
Vip umekunywa konyagi au komoni...

Grants baby, mida ile ilikuwa nusu chupa, sasa hivi imeisha.

Baadae nafungua Grants nyingine.....

Kisim kitamu hatari hehehehehehee singeli hatari aahahahahaaa...

K' Matata.
 
Usiniguse nimelewa mie...
Pombe yangu ukimwaga utalipa weyee
Nasema ukichukua kisim changu na mziki utazimwaa.....



Iko hivii, wee bibi cheza singeli ooh mziki wa singeli....
Kasie naruka singeli....

Mwanzoni miziki ya aina hii nilikuwa naiona ya kihuni isiyofaa na watu wenye heshima na staha zao hawawezi kucheza miziki aina hii.

Ila..... siku nilipoingia ulingoni na kuhakikisha beat zinaendana na step zangu yaani hata kwenye gari naweka singeli......

Kuna ambao hawata nielewa msijali, hiki kisim changu kidogodogo kinansevu sana....

Nataka niache kulewa mie, niache na bangi mie... viroba tupa kulee ni mwendo wa safari na balimi πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½

Dadii, you are more than music to me, aaiiilaaabyuuuuu πŸ’‹πŸ’‹πŸ’‹.

K’ πŸ₯° Matata.

Kacie eehπŸ€”,twende kuleeee
 
Fanya utafute supu yenye ndimu za kutosha maana sio kwa hangover hizo yani hata kukucha badoπŸ˜ƒ


Hahahahahhahahahaaa supu haipandi, hapa natafuna korosho wakati navuta kasi ya kufungua chupa mpya baadae baadae....

Grants na singeli zinaendana sanaa aahahahahahaaa jamani kisim changu kinanisevu sana tipwitipwitipwitipwi....
 
Mi bado niko kwenye Raggamufin bhana. Usikaze kiuno changu kwa Masingeli. Ntashindwa kuchochea kiuno kama Kangi Lugola.


Aaahahhahahahahahaaa sasa kama yule analisakata hadharani vile wewe unakwama wapi babuu, singeli ni kuruka na biti tuu, steps za kwaito ila kwa mwendo wa haraka hahahahaaa

Kulewa tunalewa wote na singeli tutalicheza wote, au hautatoa, jirani anauliza utatoa hutoi.... Ukigoma naniliu anapiga chabo aahahahahhaaaa

Hkyanani hii grantisi sio ya spoti spoti.

K moja Matata sanaaaaaaa aahahahahahaa.
 
daaaaah ya nini kutiana nye ge asubui subui

Ukipata nyeegeez ujue yna afya njema...

Wee baba singeli kwa utamu wa singeli kisim changu kidogodogo kinawazuzua aahahahahahahhahaaa

Kasie mie, acha nilewe mie, sijui ntaweza kuacha mibange aahahahahahaaaa.
 
Aahahahaahahahahahahaaa
Malabuku zako na kisim changu kidogodogo....

Soma hiyoo injinia babu ngapi hukoo....

Babu nataka nikupe challenge, nataka tupande ulingoni tulisakate singeli mwanzo mwisho bila kusimama wala kupumzika baadae ya hapo zawadi ya ushindi inakuhusu hahaha hahaha

Kasie Kitoko.

Asprin
 
Aahahahaahahahahahahaaa
Malabuku zako na kisim changu kidogodogo....

Soma hiyoo injinia babu ngapi hukoo....

Babu nataka nikupe challenge, nataka tupande ulingoni tulisakate singeli mwanzo mwisho bila kusimama wala kupumzika baadae ya hapo zawadi ya ushindi inakuhusu hahaha hahaha

Kasie Kitoko.
We utacheza singeli wakati mi nasakata Ragga... Patakuwa hapatoshi.
 
Back
Top Bottom