Kitakuwa sio kisim tena bali jisim... vululuvululuAaahhahahahahahaaaa Baabuuuu kwa style hiyo kisim changu kitabaki salama?
Noted with thanks!
Hakyamama singeli na ragamafin... najaribu kupiga picha unakuwa mbele yangu unacheza singeli ukiwa umeinama nami niko nyuma nakata kitu cha Shaba Ranks....Usimguse amelewa huyoo
Asije kjtapikia huyoo
Katupa chini viroba ni mwendo wa safari
Kasema singeli sema pembeni ni mwendo wa ragamafini aahahahahahahahhahaa
Shkamoo Grants hakiyababa looh.
Hahahaa afanaaleki kufa hakuna breki!Aaahahhahahahahahaaaa Malabuku zako elfu na buku bin jisim...
Hakyamama singeli na ragamafin... najaribu kupiga picha unakuwa mbele yangu unacheza singeli ukiwa umeinama nami niko nyuma nakata kitu cha Shaba Ranks....
Kisim vululuvululu ... kwisha habari yake. Kinawekwa kwenye power bank kujazwa chaji upya
Gadeim!
Ha ha ha ha some staffs worth more than Music..... Wekaaaa BahariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiaaaaaHahahahahaaa wee Bonny weewee huogopi kuzimiwa mziki eeheheheheee.
Sure "K moja Matata Sanaaaaaaaaa"Aaahahhahahahahahaaa sasa kama yule analisakata hadharani vile wewe unakwama wapi babuu, singeli ni kuruka na biti tuu, steps za kwaito ila kwa mwendo wa haraka hahahahaaa
Kulewa tunalewa wote na singeli tutalicheza wote, au hautatoa, jirani anauliza utatoa hutoi.... Ukigoma naniliu anapiga chabo aahahahahhaaaa
Hkyanani hii grantisi sio ya spoti spoti.
K moja Matata sanaaaaaaa aahahahahahaa.