Kishindo Mkutano Mkuu CHADEMA ; Mabalozi na Taasisi za Kimataifa wathibitisha kushiriki!

Hao Mabalozi wamepewa ruksa, wasije kujikuta mkutano unaisha unaisha pamoja nao.
 

..uliyosema ni kweli.

..lakini Sumaye amekuwa na haraka kubwaga manyanga.

..nadhani anaamini kuwepo kwake cdm he is doing them a favour.

..Mbowe alishaonyesha kuwa he was ready to correct the mistakes that happened ktk uchaguzi uliombwaga Sumaye.
 
Kundi la wahuni tu. Mbowe ni mafioso. Hana adabu huyo mwenye chama. Haiwezekani akamkosea adabu mzee Sumaye kiasi kile.
 
..uliyosema ni kweli.

..lakini Sumaye amekuwa na haraka kubwaga manyanga.

..nadhani anaamini kuwepo kwake cdm he is doing them a favour.

..Mbowe alishaonyesha kuwa he was ready to correct the mistakes that happened ktk uchaguzi uliombwaga Sumaye.
Nadhani Sumaye kubwaga Manyanga haraka ni jambo la maana sana.
Ilikuwa kudhalilika kwa hali ya juu sana, kwamba, hata kivuli kilimshinda katika sanduku la kura!

Ilikuwa ni lazima Mbowe aonyeshe ''kuguswa' na suala zima, hilo alifanya kujikosha tu.
Huwezi kuwa kiongozi wa chama wa kuteuliwa, Sumaye alitaka kugombea

Mbowe alikuwa na hofu na Sumaye, na kwa namna 'fulani' ana mkono kwa anguko la Sumaye

Mbowe alitakiwa akemee kundi la '' mwamba tuvushe'' ambalo basically ni lake

Kundi hilo linatia shaka sana kama halikuendesha kampeni dhidi ya Sumaye

Huu uchaguzi unaosemwa Mbowe ameshinda kwa kishindo haukutakiwa uwe hivyo
Kulitakiwa 'heavy duty' wapambane na Sumaye alimtishia sana Mbowe

Kilichotokea Mlimani City kwakweli ni ukakasi tu, hilo sijui kama kuna anayebisha.

Ukitaka kuona kuna jambo achilia mbali la Sumaye ni Mbowe kutangaza ongezeko la ada
Hilo halikuwa muhimu kuliko kuweka muda wa kiongozi madarakani. Sijui kama lilijadiliwa, sina uhakika.

Baada ya uchaguzi na mauza uza hayo, subiri , kuna kuna tatizo linafuata! ni kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…