Hiyo itakuwa ni mahariKwa usawa huu ukienda
Kule kwetu uchaggan
Uswe na chin ya lak 5
Na mbege lita c chin ya 60
Wewe Uliwekewa shilingi ngapi?Weka 50000
500Wewe Uliwekewa shilingi ngapi?
Laki 5 mkuu si ndio anakuwa ameshatoa mahari kabisa, makabila mengine mbona wana complicate mambo hivi. Sisi kwetu hakuna cha barua unatuma wazee wakajitambulishe tu then wakikubaliwa wanapangiwa siku ya kuja kuzungumzia/ kupangiwa mahariWeka lak 5
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Duuuuu baba ww nomaWW KULA MZIGO KWANZA WENYEWE WATAKUPATIA MCHUMBA WAKO
hujala unawawekea buku 5 au milioni 5
mtoto asipokupenda akaendelea kubanduliwa si utajingonga/
kishika UCHUMBA ni kwa mababu na mabibi zetu si leo wakati wa mitandao
Akija gumtu gumoja si ndio malipo atakayo lipa kwa kushika uchumba?Taratibu kaka Buji![]()
Acha fix weweKwa usawa huu ukienda
Kule kwetu uchaggan
Uswe na chin ya lak 5
Na mbege lita c chin ya 60
Mwanao nitamchukuaAcha fix wewe
hongera kijana, hapo weka 50000 tu ila kama hali yako kiuchumi iko safi na hiyo familia unayotaka kuoa binti yao iko safi basi weka laki kuendelea.Jamani nataka nijue kabila la wafipa ama kwa ujumla makabila yote ni shilingi ngapi hela ya kuweka katika barua ya kishika uchumba (kujitambulisha uchumba)
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app