Kishika uchumba ni shilingi ngapi?

Kishika uchumba ni shilingi ngapi?

hahaha umenikumbusha jamaa ang mmoja kawatuma mjomba na rafiki ake wapeleke barua ndan kaweka 35000,wamechana wamegawana kumikumi imebak 15 elfu,mbaya zaidi alishawasiliana na mtarajiwa wake kua kesho mjomba ataleta barua na nimeweka 35 tu naomba muipokeee,duuh kilichotokea balaa tupu kumbe nae mtarajiwa alishawaambia kiasi kitakachokuepo kwenye hio barua

Aiseeee jamaaaa c alionekana
Muongo sana cjui kama
Alikubaliwa
 
Inamaana unataka upeleke
50 ndo iliyokutunzia jiko
25+years
Hapo una confuse kati ya kishika uchumba(Barua) na Mahari,
Kishika uchumba ni ile pesa inayowekwa kwenye barua ya kueleza nia yako(not even neccessary kuweka pesa ndani)

Baada ya kujadiliwa barua inarudishwa kwa kiwango cha mahari, hapo sasa ndio mziki wake sie hatuingiliiii, lol
 
Hapo una confuse kati ya kishika uchumba(Barua) na Mahari,
Kishika uchumba ni ile pesa inayowekwa kwenye barua ya kueleza nia yako(not even neccessary kuweka pesa ndani)

Baada ya kujadiliwa barua inarudishwa kwa kiwango cha mahari, hapo sasa ndio mziki wake sie hatuingiliiii, lol
Nimekuelewa mkuu laƙn mtu anaweza ela kuanzia 50000 kama motisha tu

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
WW KULA MZIGO KWANZA WENYEWE WATAKUPATIA MCHUMBA WAKO
hujala unawawekea buku 5 au milioni 5
mtoto asipokupenda akaendelea kubanduliwa si utajingonga/
kishika UCHUMBA ni kwa mababu na mabibi zetu si leo wakati wa mitandao
 
wagogo
buku jero

Sent from my Infinix HOT 3 LTE using JamiiForums mobile app
 
buku hamsini tu ingawa huku uswazi unaweza anza na thelathini
 
Hapo una confuse kati ya kishika uchumba(Barua) na Mahari,
Kishika uchumba ni ile pesa inayowekwa kwenye barua ya kueleza nia yako(not even neccessary kuweka pesa ndani)

Baada ya kujadiliwa barua inarudishwa kwa kiwango cha mahari, hapo sasa ndio mziki wake sie hatuingiliiii, lol
Haa haa ila kwa uswa huu
Kishika uchumba hakifai
Kuwa chin ya laki
 
Back
Top Bottom