usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,978
- 14,092
hahaha umenikumbusha jamaa ang mmoja kawatuma mjomba na rafiki ake wapeleke barua ndan kaweka 35000,wamechana wamegawana kumikumi imebak 15 elfu,mbaya zaidi alishawasiliana na mtarajiwa wake kua kesho mjomba ataleta barua na nimeweka 35 tu naomba muipokeee,duuh kilichotokea balaa tupu kumbe nae mtarajiwa alishawaambia kiasi kitakachokuepo kwenye hio barua
Aiseeee jamaaaa c alionekana
Muongo sana cjui kama
Alikubaliwa
