Achana na pepo la visasi, usirudi nyuma, huyo X wako hakutakii mema, utajafukuzwa kazi kwa aibu na kuchafua CV yako buree! Wambili havai moja, boss wako ni boss tu kakutangulia! Kumbuka kisasi huzaa kisasi, violence breeds more violence, do away with that evil attitude and move on! Blessed.