njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Wale wababe wa yanga africans waliowapiga nje ndani wamechukua ubingwa wa nigeria na governor wa jimbo lao la Rivers state Nyesom wike kawazawadia usd 20,000 kila mchezaji
sasa timbwili ni kwamba kaahidi kuwapeleka jijini madrid spain kwa ajili ya pre season na siyo mara ya kwanza kwani hata 2016 waliwahi kwenda huko
Maoni ya wanigeria wengi yamesikitishwa na ushamba huo wa kukimbilia nje ya nchi wakisema nigeria inazo facilities nyingi na teams nyingi za kujipima nguvu haina haja ya kwenda nje ya nchi kucheza na madereva teksi wa madrid kama simba ifanyavyo huko ismailia
Wameitaka kuiiga yanga na kutulia hapohapo jimboni kwao ili kufanya maandalizi ya nguvu na ikibidi wajifunze kuendesha team kwa mpangilio kutoka kwa Genius Senzo
sasa timbwili ni kwamba kaahidi kuwapeleka jijini madrid spain kwa ajili ya pre season na siyo mara ya kwanza kwani hata 2016 waliwahi kwenda huko
Maoni ya wanigeria wengi yamesikitishwa na ushamba huo wa kukimbilia nje ya nchi wakisema nigeria inazo facilities nyingi na teams nyingi za kujipima nguvu haina haja ya kwenda nje ya nchi kucheza na madereva teksi wa madrid kama simba ifanyavyo huko ismailia
Wameitaka kuiiga yanga na kutulia hapohapo jimboni kwao ili kufanya maandalizi ya nguvu na ikibidi wajifunze kuendesha team kwa mpangilio kutoka kwa Genius Senzo