Kisa hiki kimetokea juzi naombeni ushauri

Kisa hiki kimetokea juzi naombeni ushauri

Mr Mayunga

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2011
Posts
313
Reaction score
40
Habari zenu wadau, nina mpenzi ambaye tuna mwezi tokea tulipoanza kujuana.

Juzi jioni alileta mwanaume mwingine katika chumba chake na alilala na akaondoka asubuhi.

Niligundua asubuhi baada ya kuwahi kuamka,niliwaona wakitoka nakumsindikiza kuelekea barabarani tayari kwakusafiri.

Mimi na huyo msichana tunaishi jirani sana.

Sasa baada hakujua nimejua alichokifanya hataki kuniona wala kuzungumza lolote.

USHAURI TAFADHALI
 
Dah.........na wewe ukawaangalia tu.......?
Aiseee.........nitakwambia kwa nini hataki kukuona..........
 
Unataka ushauri serious???sasa huoni kama hakutaki???angekutaka angekuja kujielezea
 
Kusoma hujui, ata picha uoni? Hakutaki huyo mzee, jiongezee
 
Kwani lazima uwe nae? Walivyoja njiani...mi nashindwa kuelewa vidume wengine...!!
 
Habari zenu wadau,nina mpenzi ambaye tuna mwezi tokea tulipoanza kujuana.Juzi jioni alileta mwanaume mwingine katika chumba chake,na alilala na akaondoka asubuhi.Niligundua asubuhi baada ya kuwahi kuamka,niliwaona wakitoka nakumsindikiza kuelekea barabarani tayari kwakusafiri.Mimi na huyo msichana tunaishi jirani sana.Sasa,baada yakujua nimejua alichokifanya hataki kuniona wala kuzungumza lolote.
USHAURI TAFADHALI

we umeingia anga za watu kuwa mpole tu
 
We umeona ushahidi kabisa kuwa ametoka kugegedwa halafu unataka ushauri wa nn, hapo bado moyo wakounakwambia kuwa "shetani alimpitia" nyie ndo mnaokosewa na wapenzi wenu halafu eti we ndo unaenda kumuomba msamaha........mbaaaaaaaf sana
 
We umeona ushahidi kabisa kuwa ametoka kugegedwa halafu unataka ushauri wa nn, hapo bado moyo wakounakwambia kuwa "shetani alimpitia" nyie ndo mnaokosewa na wapenzi wenu halafu eti we ndo unaenda kumuomba msamaha........mbaaaaaaaf sana

mkuu huyu ni msukuma made in Mwanza/Shinyanga/Simiyu/Geita.. wanapenda mnoo.. yani kwanza hongera kama hukumfanya chochote maana wengi huwa wanauawana sababu ya mbunye.
 
Penzi lenyewe la mwezi mmoja halafu unaomba ushauri.

Mwanaume gani huna maamuzi kwa mwanamke Malaya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom