Kisa cha wanahabari wasomi kutokuwepo Newsroom, uwepo wa akina Pascal Mayalla Newsroom ilikuwa sumu zaidi ya uchawi

Ndugu zangu nimelazimika kuja na uzi huu, niseme kweli nilitamani sanaa nije na uzi huu endapo Mwenyezi Mungu angeweza kumchukua ndugu Pascally Mayalla kwa maana baada ya KUFA.

************
Yapo mawili ya kutohoa hapa;
1. Wewe unaugomvi binafsi na Pascal Mayalla au

2. Umeamua kutumia jina lake kuupa uzi wako millage

****

Pili awali ya kuingia kwenye kiini cha bandiko langu, naomba niombe radhi dhidi ya mwandiko wangu hakika unauzi hasa pale unapokuwa hauleweki natambua usumbufu ninao kusababishia wewe msomaji wa nyuzi zangu.hakika ili ni tatizo ila nitalikabiri kwa haraka na kuliondoa yaani ili sio kama janga la corona ili ninalimudu.

******************
Kwa mwandiko huu hiyo Degree ungekua mwanamke tungesema ni ya PICHU sasa kwa kua u kijana wa kiume 'ulimi koma ninaye mtoto wa kiume' na ninauchukia u half-caste.

Aidha mimi ningekua Mhariri wewe hata By line usingepata kwakua lengo kuu la muandishi ni kuandika nawe hujui kuandika na umekiri hivyo.

***********

Niliwai gombana na mhariri wa gazeti moja aliyenituma siku moja nitoke nyumbani mapema niende habar maelezo kusubili habari za kuletewa mezani, badala yake mm nilimwambia naingia mtaani kutafuta habari badala ya kwenda habar maelezo, mhariri alikasirika sana siku hiyo.

*********

Nakumbuka nilikuwa na sinior mmoja anaitwa Daniel MBEGA sijui yupo wapi mhariri nguri huyu bwana, alinituma niende Jangwani nikakave stori ya walimu walio andamana kwa kutoongezewa mshahara

***********

Tabia ya ujuaji, ukaidi, ubishi na kutokusikiliza maagizo ya Wakuu wako wa kazi ndivyo degree zenu zilivyowafunza?

Aidha yawezekana hata huko benki uliposema unafanya kazi sasa hivi wanatafuta namna ya kukutimua tu kutokana na tabia ya ujuaji na ubishi

Waneni walisema

NDEGE MMOJA ALIYE MKONONI SI SAWA NA WAWILI WALIPO PORINI.

**************

Hapa sidhani kama ninaweza kueleweka. Sisi tuliomaliza chuo kikuu enzi hizo ilikuwa ni ngumu sana kupata kazi kwenye magazeti au redio zetu zilizokuwepo nchini; si kwa sababu za waajiri hawakuwa na uwezo tu, bali pia waajiriwa wengi waliokuwa studio walikuwa ni sumu kwa graduates, yaani walikuwa sumu zaidi ya wachawi.

**********

YAANI WALIKUA SUMU ZAIDI YA UCHAWI hivi wewe aliyekufundisha kiswahili ni nani? Wallah uandishi wako unatia kinyaa na maneno yako yanaamsha hasira za kifasihi.

**********

Mie ni sifileo viko visa ntakuwa nachomoa kimoja baada ya kingine.(niliowataja nisameheni ila ukweli umetoka kifuani mwangu mkiwa hai kama mkiisi mlitenda dhambi vema kutubu kabla ya izirael wa corona hajakufikia.)

***********
Mkuu nani kakuhakikishia Jambo Hilo kwamba hufi leo? Tafadhali nijaalie nami mawasiliano naye ili niijue nami tarehe yangu.

MY TAKE
Hiki ndicho kinachoiangusha jamii yetu ya Kitanzania kwa kukumbatia MALALAMIKO na kuhisi kuonewa badala ya kuja na SULUHISHO la MATATIZO yanayotukabili.

Tujifunze kufanya self analysis, ya kile tunachojiaminisha kwamba tunakijua.

TUKUTANE KWENYE MREJESHO

Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna cha mrejesho wewe ndo nilio wasema ukweli umekuingia byeeeeee jioni njema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa singoji Mayala ajibu. Nitajibu mimi. Kijana nadhani humjui Mayala na hivyo bora fanya utafiti kidogo. Hana sifa unazozisema, lkn pia zamani kulikuwa na waandishi waliokuwa na elimu ya shahada ya uzamili achilia mbali shahada ya kwanza, ingawa pia walikuwepo waliokuwa na stashahada. Mifano yako ya habari hailingani na elimu yako.


Inafaa wewe pia ubadilike na kuheshimu kitu kinaitwa seniority.
: 75839"]
Nataka niseme, waandishi wa habari wakongwe ambao waliingia media nyingi kwa sababu ya kujua kusoma na kuandika walikuwa ni kikwazo kikubwa kwa waandishi wasomi kuingia newsroom hata kwa kujitolea.
Hapa tatizo ni huko kujua kwako. Ulitaka ukiingia newsroom kwa kuwa wewe una shahada, uoneshe kwamba waliopo hawajui. Hili ndilo tatizo la kujimwambafy. Jifunze siku nyingne. Mwisho ni vyema umeamua kufanya kazi nyingine kwani uandishi ni taaluma yenye nidhamu, wewe haikufai. Ni bahati mbaya unamshambulia mtu binafsi bila kosa la msingi.
Z[/QUOTE]mimi naheshimu sana siniority,ila naheshimu pia taaluma na talanta yangu tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwanza nadhani sio sawa kuniita dogo, pili nikukuze yakuwa mimi sio empty mind kama ulivyosema,tunatofautiana kama mwenzangu ulisoma sayansi kilimo mm sikusoma masomo hayo hata ninachokwambia huwezi elewa.
IQ ndogo. Nadhani atakua ni Aina ya wale watu wa ziwani wapenda sifa huku kichwani empty.
Mayalla has an impeccable reputation kwenye tasnia ya habari na kila mtu anajua hasa hapa jukwaani.

Mwisho niseme kua Kwa uandishi wako, mayalla sio size yako.

Natanguliza Samahani Kwa usumbufu utakao jitokeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu mtoa mada,
Nadhani Paskali hatakujibu maana he is far better more than you hata kama angekuwa hana vyeti vya kuonesha mbele za watu; kwa simple comparison analysis ambayo mimi nimeifanya na masahihisho machache ambayo wadau wamekupa. Uwezo wa Paskali kuandika na kujenga hoja humu jukwaani vs uwezo wako; you're too junior to chalenge him.

Ila kwa kuwa wewe ni Mtanzania na member wa JF ambao sis JF ni great thinkers, naomba kukusaidia ushauri mdogo. Soma sana vitabu mbali mbali ili uweze kujua art ya kuandika hata simple story na inayoeleweka. Maana hata hujaflow na wengi hawajakuelewa.

Kwa kumtaja Mayalla kwenye bandiko, nimeamua kusoma. Una upungufu mkubwa na pia huna skills za ku-develop mtiririko unaeleweka kwenye uandishi wako, grammer haijaa sawa hata kwa kiswahili. Kwa muono wangu, kuna baadhi ya vijana wa kidato cha nne enzi sisi tunasoma miaka ya 90 sio zamani sana, wangeweza kuwa bora kuliko wewe kiuandishi wa mtiririko na kwa content. Kama wangeandika hapa jukwaani wakilinganishwa na wewe wangedhani labda wao ndio gradutes na wewe pengine sijui upo kidato cha ngapi.

Kwa kuwa umejinadi wewe ni graduate, hongera kwa kuwa gamba. Una jukumu kubwa sana kujiendeleza kupitia formal training, informal training na non-formal training; bila shaka ukawa bora. Ila kufikia ubora wa Paskali, unahitaji akili kama za Paskali ambazo kwake ni "hereditary make up" ambayo sijui kama inaweza kufinyangwa na mazingira akawa walau bora kama yeye.

Wasalaam.
 
Natumai Mu wazima wa afya ndugu zangu wana JF?

Nianze uzi wangu kwanza kwa kuwakumbusha ndgu zangu kila mmoja wetu afate na kusikiliza ushauri wa wataalamu wetu wa afya dhidi ya kujikinga na maradhi haya ya corona.

Pili awali ya kuingia kwenye kiini cha bandiko langu, naomba niombe radhi dhidi ya mwandiko wangu hakika unauzi hasa pale unapokuwa hauleweki natambua usumbufu ninao kusababishia wewe msomaji wa nyuzi zangu.hakika ili ni tatizo ila nitalikabiri kwa haraka na kuliondoa yaani ili sio kama janga la corona ili ninalimudu.

Ndugu zangu nimelazimika kuja na uzi huu, niseme kweli nilitamani sanaa nije na uzi huu endapo Mwenyezi Mungu angeweza kumchukua ndugu Pascally Mayalla kwa maana baada ya KUFA.

Ingawa sikujua nani kati yetu angetangulia mbele za haki ila nilishajiapiza kuwa endapo angetangulia mbele za haki wakati watu wakiandika MAKALA za kumsifia yeye pamoja na wenzake hakika mimi ningekuja na Makala ya kupinga sifa ambazo angepewa yeye.

Lakini pia naomba nielezee kwa nini sasa nimeamua kuandika andiko ili leo?

KASTORI KIDOGO

Jana nikiwa nimetulia, niliingia JF na kukuta uzi mmoja ambao uliandikwa na ndugu Pascal Mayalla. Uzi ule ulikumbushia madhira ambayo yamekumba waandishi wa habari Tanzania; baadhi yao na kupoteza maisha, nadhani kupitia uzi ule yeye alitaka kutuaminisha kuwa waandishi habari wauliza maswali magumu (heti na yeye akiwemo), walipoteza maisha na hata yeye anajiisi anaweza potezwa kama wenzake (ninahisi).

Baada ya kusoma uzi ule nami niliwiwa kuandika uzi uliobeba kichwa cha habari yu wapi Erick Kabendera life after gerezani, yu wapi Tundu Lissu?

Katika uzi wangu mfupi, nilijaribu kuelezea madhila niliyowai kukutana nayo nikiwa kijana mdogo niliyeipenda sana fani ya uhandishi wa habari, hakika niliipenda, nilielezea kisa kimojawapo kilichonifanya mpaka leo hii kutokufanya kazi ya uandishi wa habari na hatimaye kujikuta nikiwa Benki.

Kuusema ukweli pamoja na kisa kile nilichoelezea sikuwa tayari kuelezea visa vingine ila sasa baada ya kupitia uzi ule leo na kuona mchango wa ndugu Pascal Mayalla ndo nikawiwa kuandika kisa kingine ambacho nimekipa kichwa cha habari hapo juu.

Miaka 12 iliyopita ndugu wasomaji, fani ya uandishi wa habari nchini Tanzania, lazima tukubaliane kuwa ilikuwa na waandishi wengi wao walioongozwa na KUJUA KUSOMA NA KUANDIKA.

Hapa sidhani kama ninaweza kueleweka. Sisi tuliomaliza chuo kikuu enzi hizo ilikuwa ni ngumu sana kupata kazi kwenye magazeti au redio zetu zilizokuwepo nchini; si kwa sababu za waajiri hawakuwa na uwezo tu, bali pia waajiriwa wengi waliokuwa studio walikuwa ni sumu kwa graduates, yaani walikuwa sumu zaidi ya wachawi.

Enzi hizo, nakumbuka niliwahi kwenda kuomba field tu hapo TVT na tulikuwa wawili mimi na mdada fulani sasa hiv naye nimesikia ni Bank Teller. Yeye alichukuliwa na kupewa nafasi ya field baada ya kukubali kutembea kimapenzi na bwana mkubwa mmoja, ambaye naye sasa hivi hayupo hapo. Nakumbuka nilipojaribu kumuuliza yule mwanafunzi mwenzangu alifanikiwaje kupata field pale baada ya kupeleka barua alinipa jibu hili: "Mwenzako niliambiwa NIKAE KARBU NA WARIDI NIWARIDIKE"

Kauli hii sikuweza kuielewa kamwe nadhani ni kwa sababu sikuwa na chochote cha kutoa ili nipate nafasi ile.

Ninakumbuka sana sikuishia hapo, nilienda kwenye media zaidi ya tano jijini DSM pasipo kupata mafanikio. Tena hapa nataka nieleze tatizo halikuwa mwandiko ambao ndugu Pascal anausema.

Newsroom za zamani zilijawa na waandishi ambao ndio waasisi wa BAHASHA ZA KAKI. Kwa mtu yoyote aliyesoma walau shahada ya uandishi usingeweza kukubali kuuza utu wako na thamani yako kwa bahasha iliyowekwa shilingi elfu tano, ila kwa kuwa wakina Pascal Mayalla waliasisi hata vijana walioingia hawakuwa na uwezo wa kuondoa uchafu huu.

Nataka niseme, waandishi wa habari wakongwe ambao waliingia media nyingi kwa sababu ya kujua kusoma na kuandika walikuwa ni kikwazo kikubwa kwa waandishi wasomi kuingia newsroom hata kwa kujitolea.

Waandishi wakongwe ndiyo chanzo cha kupelekea tasnia ya habari nchini Tanzania kudharauliwa na watawala na waajiri wao. Hili nitalielezea kwa mfano hai, enzi hizo wakati tukitapatapa kwenye vyombo uchwara.

Niliwai kugombana na mhariri wa gazeti moja aliyenituma siku moja nitoke nyumbani mapema niende Habari Maelezo kusubiri habari za kuletewa mezani, badala yake mimi nilimwambia naingia mtaani kutafuta habari badala ya kwenda Habari Maelezo, mhariri alikasirika sana siku hiyo. Hao ndo waandishi wa mwandiko, anaacha nyumba ya jirani yake imeungua anakimbilia kwenda kuandika habari za Habari Maelezo.

Yani kuungua kwa nyumba ya jirani na kifo cha mtu mmoja sio habari ila habari za Habari Maelezo zinazohusu mwanamke malaya kubakwa na minjemba minne eti ndo ilikuwa habari?

Ninakumbuka, hapa nisamehewe, wakati nahitimu elimu yangu gazeti la Jamhuri lilikuwa ndo linaanza, nilienda kwa mkurugenzi na kumuomba anipe hata nafasi ya kujitolea tu, na wakati huo alikuwa yeye na kaka yangu kipenzi Jackton lakini jibu nililopewa ni sawa la TVT, "Kaa karibu na waridi uwaridike". Siwezi kuficha ukweli, waandishi wa habari wa kujua kusoma na kuandika wa enzi hizo hawa wakina Pascal na wenzake mlikuwa kikwazo kikubwa sana.

Ingawa siku hizi naskia mmejiendeleza na kufuta ukwasi wa elimu vichwani mwenu, ila bado kwenye media zetu mpo. Mnahitaji kubadilika. Nimefurahi sana mkurugenzi wa Jamhuri ameweza kubadilika kuendana na wakati ametambua nje ya kipawa cha uanafasihi kuna elimu, na gazeti lake hata ukilisoma bado unagundua kabisa kuna vijana sasa wanatumia taaluma vyema kujenga hoja.

Kabla ya kuitimisha nielezee kisa kimoja ambacho kilinifanya niwachukie waandishi wakongwe walioingia newsroom kwa sababu ya kujua kusoma na kuandika.

Miaka takribani saba iliyopita nilikuwa kwenye chombo cha habari (gazeti) mmiliki wa kile chombo alikuwa halipi mishahara waandishi; yeye alikuwa analipa posho ilihali anapata pesa nzuri kwa mauzo ya gazeti.

Mimi sikuwa mwajiriwa na hakuwa ameajiri bhana, sasa alifkia hatua hata kale kaposho alikokuwa anatupa akakata kabisa.

Nakumbuka nilikuwa na senior mmoja anaitwa Daniel Mbega sijui yupo wapi mhariri nguli huyu bwana, alinituma niende Jangwani nikakave stori ya walimu walioandamana kwa kutoongezewa mshahara.

Nilimuuliza swali hivi wewe unaona hiyo ni habari kuliko ya sisi kuajiliwa ni kulipwa kidgo kama wanavyolipwa walimu?

Aise kuanzia siku hiyo lilijengwa bifu kubwa sanaa, ila baadae nilipochunguza nilibaini yeye alikuwa akipewa posho kwa mlango wa nyuma. nimemtaja ili akisoma bandiko ili ajue nilijua.

Vipo visa vingi sana vinavyowakimbiza waandishi habari wasomi ndani ya newsroom. Hapo sijagusia "uchawi" wa akina Pascal Mayalla humo kwenye ma-newsroom. Yaani kuna mazindiko balaa, ogopa ofisi ya watu ambao hawajasoma bhana, ndumba ndo inayoongoza hata hivyo ni muhimu waajiriwa kujiongeza.

Ama hakika ninamshukuru Jabir Idrisa pamoja na Said Kubenea wao hawakuofia elimu zetu kupitia gazeti la Mwanahalisi, walitupa nafasi tukaonesha cheche zetu.

Uandishi wa habari ni fani kama zilivyo fani nyingine. Vikongwe watoke wakosome, sipingani na wanafasihi nguli wanaodai mwanafasihi ni zao kutoka kwa Mungu, na uandishi ni kipawa kama vilivyo vipawa vingine ila kuboreshwa ni muhimu.

Mie ni sifileo, viko visa nitakuwa nachomoa kimoja baada ya kingine (niliowataja nisameheni ila ukweli umetoka kifuani mwangu mkiwa hai kama mkihisi mlitenda dhambi vema kutubu kabla ya Israel wa corona hajakufikia)

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa uandishi huu, hata mimi nisingekuchukua kwenye Chombo changu. Kama kweli wewe ni miongoni mwa waandishi wasomi, basi kuna tatizo mahali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada na shahada yako unaweza kujilinganisha na wakongwe kama kina Tido Mhando, Charles Hillary, Sekione Kitojo...? Then hivi miaka ya 70s, 80s na ,90s ulitarajia watangazaji na waandishi waajiriwe na elimu ya shahada? Hata makala na vipindi motomoto ni vile vilivyoandaliwa na hawa wakongwe! Nyie waandishi wa kisasa pamoja na elimu yenu kubwa sioni mnachokifanya!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukijitia umwamba kununua uhasama na akina nanihii, humu Jukwani utajikalifisha na kudharaulika buree. sifi leo una njia ndefu ya kujiimarisha kiuandishi, la hasha sitaki kukuchambua. Nikusifu kwa kupata ujasiri tunaoukosa wengi, kuandika na kutaja watu kwa majina hongera.

Endelea kuandika, endelea kusoma, kukosea na kujitathmini ndio namna nzuri ya kujiimarisha katika kila jambo lenye kuhitaji utaalamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu Mungu akubariki sanaaa ushauri wako naupokea kwa mikono miwili hakika ntatenda kama ulivyo niasa.
Ukijitia umwamba kununua uhasama na akina nanihii, humu Jukwani utajikalifisha na kudharaulika buree. sifi leo una njia ndefu ya kujiimarisha kiuandishi, la hasha sitaki kukuchambua. Nikusifu kwa kupata ujasiri tunaoukosa wengi, kuandika na kutaja watu kwa majina hongera.

Endelea kuandika, endelea kusoma, kukosea na kujitathmini ndio namna nzuri ya kujiimarisha katika kila jambo lenye kuhitaji utaalamu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bibi Faiza angekuja hapa angekuuliza hivi "huko shule ulienda kusomea ujinga"
Halafu kwa nini wewe jamaa unapenda sana kujimwabafai mwambafai???
Sikukatishi tamaa ila nakuambia tu ukweli, huyo Paskali unae mnanga ukiwekwa nae kwenye mizani ya tasnia ya habari ni sawa na kulinganisha mlima na kipande cha kokoto.
 
Natumai Mu wazima wa afya ndugu zangu wana JF?

Nianze uzi wangu kwanza kwa kuwakumbusha ndgu zangu kila mmoja wetu afate na kusikiliza ushauri wa wataalamu wetu wa afya dhidi ya kujikinga na maradhi haya ya corona.

Pili awali ya kuingia kwenye kiini cha bandiko langu, naomba niombe radhi dhidi ya mwandiko wangu hakika unauzi hasa pale unapokuwa hauleweki natambua usumbufu ninao kusababishia wewe msomaji wa nyuzi zangu.hakika ili ni tatizo ila nitalikabiri kwa haraka na kuliondoa yaani ili sio kama janga la corona ili ninalimudu.

Ndugu zangu nimelazimika kuja na uzi huu, niseme kweli nilitamani sanaa nije na uzi huu endapo Mwenyezi Mungu angeweza kumchukua ndugu Pascally Mayalla kwa maana baada ya KUFA.

Ingawa sikujua nani kati yetu angetangulia mbele za haki ila nilishajiapiza kuwa endapo angetangulia mbele za haki wakati watu wakiandika MAKALA za kumsifia yeye pamoja na wenzake hakika mimi ningekuja na Makala ya kupinga sifa ambazo angepewa yeye.

Lakini pia naomba nielezee kwa nini sasa nimeamua kuandika andiko ili leo?

KASTORI KIDOGO

Jana nikiwa nimetulia, niliingia JF na kukuta uzi mmoja ambao uliandikwa na ndugu Pascal Mayalla. Uzi ule ulikumbushia madhira ambayo yamekumba waandishi wa habari Tanzania; baadhi yao na kupoteza maisha, nadhani kupitia uzi ule yeye alitaka kutuaminisha kuwa waandishi habari wauliza maswali magumu (heti na yeye akiwemo), walipoteza maisha na hata yeye anajiisi anaweza potezwa kama wenzake (ninahisi).

Baada ya kusoma uzi ule nami niliwiwa kuandika uzi uliobeba kichwa cha habari yu wapi Erick Kabendera life after gerezani, yu wapi Tundu Lissu?

Katika uzi wangu mfupi, nilijaribu kuelezea madhila niliyowai kukutana nayo nikiwa kijana mdogo niliyeipenda sana fani ya uhandishi wa habari, hakika niliipenda, nilielezea kisa kimojawapo kilichonifanya mpaka leo hii kutokufanya kazi ya uandishi wa habari na hatimaye kujikuta nikiwa Benki.

Kuusema ukweli pamoja na kisa kile nilichoelezea sikuwa tayari kuelezea visa vingine ila sasa baada ya kupitia uzi ule leo na kuona mchango wa ndugu Pascal Mayalla ndo nikawiwa kuandika kisa kingine ambacho nimekipa kichwa cha habari hapo juu.

Miaka 12 iliyopita ndugu wasomaji, fani ya uandishi wa habari nchini Tanzania, lazima tukubaliane kuwa ilikuwa na waandishi wengi wao walioongozwa na KUJUA KUSOMA NA KUANDIKA.

Hapa sidhani kama ninaweza kueleweka. Sisi tuliomaliza chuo kikuu enzi hizo ilikuwa ni ngumu sana kupata kazi kwenye magazeti au redio zetu zilizokuwepo nchini; si kwa sababu za waajiri hawakuwa na uwezo tu, bali pia waajiriwa wengi waliokuwa studio walikuwa ni sumu kwa graduates, yaani walikuwa sumu zaidi ya wachawi.

Enzi hizo, nakumbuka niliwahi kwenda kuomba field tu hapo TVT na tulikuwa wawili mimi na mdada fulani sasa hiv naye nimesikia ni Bank Teller. Yeye alichukuliwa na kupewa nafasi ya field baada ya kukubali kutembea kimapenzi na bwana mkubwa mmoja, ambaye naye sasa hivi hayupo hapo. Nakumbuka nilipojaribu kumuuliza yule mwanafunzi mwenzangu alifanikiwaje kupata field pale baada ya kupeleka barua alinipa jibu hili: "Mwenzako niliambiwa NIKAE KARBU NA WARIDI NIWARIDIKE"

Kauli hii sikuweza kuielewa kamwe nadhani ni kwa sababu sikuwa na chochote cha kutoa ili nipate nafasi ile.

Ninakumbuka sana sikuishia hapo, nilienda kwenye media zaidi ya tano jijini DSM pasipo kupata mafanikio. Tena hapa nataka nieleze tatizo halikuwa mwandiko ambao ndugu Pascal anausema.

Newsroom za zamani zilijawa na waandishi ambao ndio waasisi wa BAHASHA ZA KAKI. Kwa mtu yoyote aliyesoma walau shahada ya uandishi usingeweza kukubali kuuza utu wako na thamani yako kwa bahasha iliyowekwa shilingi elfu tano, ila kwa kuwa wakina Pascal Mayalla waliasisi hata vijana walioingia hawakuwa na uwezo wa kuondoa uchafu huu.

Nataka niseme, waandishi wa habari wakongwe ambao waliingia media nyingi kwa sababu ya kujua kusoma na kuandika walikuwa ni kikwazo kikubwa kwa waandishi wasomi kuingia newsroom hata kwa kujitolea.

Waandishi wakongwe ndiyo chanzo cha kupelekea tasnia ya habari nchini Tanzania kudharauliwa na watawala na waajiri wao. Hili nitalielezea kwa mfano hai, enzi hizo wakati tukitapatapa kwenye vyombo uchwara.

Niliwai kugombana na mhariri wa gazeti moja aliyenituma siku moja nitoke nyumbani mapema niende Habari Maelezo kusubiri habari za kuletewa mezani, badala yake mimi nilimwambia naingia mtaani kutafuta habari badala ya kwenda Habari Maelezo, mhariri alikasirika sana siku hiyo. Hao ndo waandishi wa mwandiko, anaacha nyumba ya jirani yake imeungua anakimbilia kwenda kuandika habari za Habari Maelezo.

Yani kuungua kwa nyumba ya jirani na kifo cha mtu mmoja sio habari ila habari za Habari Maelezo zinazohusu mwanamke malaya kubakwa na minjemba minne eti ndo ilikuwa habari?

Ninakumbuka, hapa nisamehewe, wakati nahitimu elimu yangu gazeti la Jamhuri lilikuwa ndo linaanza, nilienda kwa mkurugenzi na kumuomba anipe hata nafasi ya kujitolea tu, na wakati huo alikuwa yeye na kaka yangu kipenzi Jackton lakini jibu nililopewa ni sawa la TVT, "Kaa karibu na waridi uwaridike". Siwezi kuficha ukweli, waandishi wa habari wa kujua kusoma na kuandika wa enzi hizo hawa wakina Pascal na wenzake mlikuwa kikwazo kikubwa sana.

Ingawa siku hizi naskia mmejiendeleza na kufuta ukwasi wa elimu vichwani mwenu, ila bado kwenye media zetu mpo. Mnahitaji kubadilika. Nimefurahi sana mkurugenzi wa Jamhuri ameweza kubadilika kuendana na wakati ametambua nje ya kipawa cha uanafasihi kuna elimu, na gazeti lake hata ukilisoma bado unagundua kabisa kuna vijana sasa wanatumia taaluma vyema kujenga hoja.

Kabla ya kuitimisha nielezee kisa kimoja ambacho kilinifanya niwachukie waandishi wakongwe walioingia newsroom kwa sababu ya kujua kusoma na kuandika.

Miaka takribani saba iliyopita nilikuwa kwenye chombo cha habari (gazeti) mmiliki wa kile chombo alikuwa halipi mishahara waandishi; yeye alikuwa analipa posho ilihali anapata pesa nzuri kwa mauzo ya gazeti.

Mimi sikuwa mwajiriwa na hakuwa ameajiri bhana, sasa alifkia hatua hata kale kaposho alikokuwa anatupa akakata kabisa.

Nakumbuka nilikuwa na senior mmoja anaitwa Daniel Mbega sijui yupo wapi mhariri nguli huyu bwana, alinituma niende Jangwani nikakave stori ya walimu walioandamana kwa kutoongezewa mshahara.

Nilimuuliza swali hivi wewe unaona hiyo ni habari kuliko ya sisi kuajiliwa ni kulipwa kidgo kama wanavyolipwa walimu?

Aise kuanzia siku hiyo lilijengwa bifu kubwa sanaa, ila baadae nilipochunguza nilibaini yeye alikuwa akipewa posho kwa mlango wa nyuma. nimemtaja ili akisoma bandiko ili ajue nilijua.

Vipo visa vingi sana vinavyowakimbiza waandishi habari wasomi ndani ya newsroom. Hapo sijagusia "uchawi" wa akina Pascal Mayalla humo kwenye ma-newsroom. Yaani kuna mazindiko balaa, ogopa ofisi ya watu ambao hawajasoma bhana, ndumba ndo inayoongoza hata hivyo ni muhimu waajiriwa kujiongeza.

Ama hakika ninamshukuru Jabir Idrisa pamoja na Said Kubenea wao hawakuofia elimu zetu kupitia gazeti la Mwanahalisi, walitupa nafasi tukaonesha cheche zetu.

Uandishi wa habari ni fani kama zilivyo fani nyingine. Vikongwe watoke wakosome, sipingani na wanafasihi nguli wanaodai mwanafasihi ni zao kutoka kwa Mungu, na uandishi ni kipawa kama vilivyo vipawa vingine ila kuboreshwa ni muhimu.

Mie ni sifileo, viko visa nitakuwa nachomoa kimoja baada ya kingine (niliowataja nisameheni ila ukweli umetoka kifuani mwangu mkiwa hai kama mkihisi mlitenda dhambi vema kutubu kabla ya Israel wa corona hajakufikia)

Sent using Jamii Forums mobile app
Nazani wewe ni Pascal Mayalla mwenyewe, ila umeamua kujipaisha
 
Back
Top Bottom