sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
- Thread starter
- #81
nmefurah umeelewa msingi wa andiko langu sema unajitia upofu.Mbaya zaidi, ni mtu amesoma miaka hiyo. Yani graduate asiuejua Kiswahili alitarajia apate ajira kwenye taasisi za Habari? Umeonesha kwa nini wahariri wote walikukataa. Inasikitisha zaidi kuwa bado hujajitambua kuwa Lugha yako ya Kiuandishi ni mbovu kuliko ya Vijana wa Kawaida wa Mitaa ya Uswahilini. Pia unaamini kwa kufanya kazi Benki umewapita akina Mayalla. Walimu wako wa Chuo Kikuu wangekuwa wanasoma ulichokuwa unaandika, usingemaliza hata mwaka wa kwanza. Badilika. Anza upya kusoma. Maana elimu haina mwisho. Walau uweze kurekebisha A na H.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app