Hivi havijatoka tena vingine mpaka Leo? Maana nami ninavyo tisa nasubiri muendelezo wa Vitabu vingine.Moja ya hadithi zinazopatikana katika kitabu cha alfu lela u lela (siku elfu moja na moja). Vitabu vipo tisa,kisa hiki kinapatikana katika kitabu cha pili.
Wale wapenzi wa vitabu mnaweza mkajitafutia mkasome visa kwa urefu na kwa nafasi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]We sweetheart umekufa nini??
KazinguaWee mdada acha mambo ya kiseng. Watu tunafuatilia story halafu unaingia mitini
Mbona kmya
Kwi! Kwi! Kwi!Usinipangie