100 Likes
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 2,416
- 5,171
Ukiweza vitafute ujisomee utapa mengi na burudani tosha.
Nimesoma soma vichache.
Ukiweza vitafute ujisomee utapa mengi na burudani tosha.
Robinson Crussor,umenikumbusha mbali mkuu japo mm sio muhengaWapi kinapatikana maana nakumbuka syllabus yetu ya Darasa la tano 1970. Kingine kilikuwa Hekaya Za Abunwas. La sita Mashimo ya Mfalme Suleiman. Darasa la nne tulikuwa na Hadith za Hiawadha na Hadith za Essopo. Darsa la tatu tuna Robinson Crussor. La kwanza na la pili tuna Someni kwa Furaha unakutana na Paulo mchafu usje kucheza na sisi, Safari za Bulicheka na Wagagagigikoko wake!!!!
Safi sana maarifa hayana umuhenga wowote mkuuRobinson Crussor,umenikumbusha mbali mkuu japo mm sio muhenga
mbona hakuna mwendelezo? Chosho la ukwell.
Mkuu em nipe kidogo story ya hiki kitabu nakumbuka nilikisoma ila nimesahau story yake inahusu niniRobinson Crussor,umenikumbusha mbali mkuu japo mm sio muhenga
Daa bado nipo ofcn nimeamua nisome mpaka ilikoishia. Nimejifunza kitu no kukata tamaa.Mkuu em nipe kidogo story ya hiki kitabu nakumbuka nilikisoma ila nimesahau story yake inahusu nini
Niaje Baharia wa ChatoSio poa
Mkuu labda anajiandaa na sikukuu uchwara ya ksho anaenda pigwa dyudyu na msela wakeKinondoni Queen umeridhika kabisa hadi Christmas imefika, au umekufa??
Wewe mhengaRobinson Crussor,umenikumbusha mbali mkuu japo mm sio muhenga