zinc
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 1,391
- 1,069
Wakuu JF,
Kwanza kabisa, nampa pole Boss Ruge na nimuombe awe na uvumilivu kwa sababu akianza kumfuatilia huyo Zam itazidi kumuumiza sana, huu ni upepo tu na haya yote yatapita na kusahaulika. Nina imani kuwa Boss alimpenda sana huyu mwanamama anayejiita Queen of Host The Bongo movie, ambapo nafasi hiyo kaipata siyo kwa nguvu yake tu bali mtu wa maana nyuma yake alikuwepo, sema shida ya wanawake husahau walipotoka, wakipata umaarufu wao radhi kukuhadhirisha bila kujali nafac yako mwanaume ambayo una play part kwake.
Ruge kile unapitia sasa hata mimi nilipitia, sema katika sura tofauti, nakumbuka mara baada mpenzi wangu ambaye yupo humu JF kubeba mimba huku nikiamini mimi ni baba kijacho. Bac nili play part as a man ambaye soon nitaitwa baba nikijua safar ndiyo imeanza hivyo, nikiamini Mungu amenipa nafac ya kuujenga mji mpya na wenye nguvu.
Baada ya muda flan mpenz wangu alijifungua salama nikafurahi tukiwa kama familia, tukasema "THE GREAT LION HAS BORN" maana ni dume alizaliwa. Lakini mwisho wa siku mwanamke wangu akapona, na ikawa tunaangalia uwezekano wa kufunga ndoa, ili tuishi kihalali.
Kwa kweli mwanamke huyo akaanza kua mzito kwenye kushuhulikia taratibu za pamoja hasa mambo ya mafunzo ya ndoa kanisani, maana tulishapeleka majina yetu. Maana hivi ndiyo vitu vya muhimu katika kujiandaa kuibariki ndoa, kuliko kufikiria sana ma sherehe sherehe.
Kuna kipindi mwanamke huyo alikuja kumuambia mama yake kwamba mtoto siyo wa kwangu na hajui itakuaje huko mbeleni na anaogopa ndoa ifungwe, kwan moyo wake unamsuta kwa kucheat. Na nilihic ndoto kuyasikia hayo kutoka kwake.
Hapa ninapoongea sijafunga ndoa nae, kila mtu na maisha yake, maana ilinibidi nipotee kabisa, na iliwaogopesha sana familia yangu. Na imebaki hivi hivi, hakuna kinachoeleweka, mama mkwe akiniangalia huwa kama anataka kulia kabisa, hajawah kunieleza chochote. Now niko na mshe zangu.
Kikubwa mimi namshukuru Mungu maana yeye ndiyo muweza wa yote, Nililia sana, mpk kesho nikikumbuka nitalia vile vile. Ila itafika wakati kidonda changu kitapona tu kwa kuumizwa na kubondwa bondwa ndani ya moyo wangu. Maisha lazima yaendelee, wapo wataomcheka Ruge lkn Boss ameumizwa na jambo lisikie kwa mchiz mwingine, omba yasikukute wazee.
Men out there TUMUOMBEE mwenzetu awe MTULIVU na SUBIRA, kwani atapata mwingine aliye wa kweli.
Kwanza kabisa, nampa pole Boss Ruge na nimuombe awe na uvumilivu kwa sababu akianza kumfuatilia huyo Zam itazidi kumuumiza sana, huu ni upepo tu na haya yote yatapita na kusahaulika. Nina imani kuwa Boss alimpenda sana huyu mwanamama anayejiita Queen of Host The Bongo movie, ambapo nafasi hiyo kaipata siyo kwa nguvu yake tu bali mtu wa maana nyuma yake alikuwepo, sema shida ya wanawake husahau walipotoka, wakipata umaarufu wao radhi kukuhadhirisha bila kujali nafac yako mwanaume ambayo una play part kwake.
Ruge kile unapitia sasa hata mimi nilipitia, sema katika sura tofauti, nakumbuka mara baada mpenzi wangu ambaye yupo humu JF kubeba mimba huku nikiamini mimi ni baba kijacho. Bac nili play part as a man ambaye soon nitaitwa baba nikijua safar ndiyo imeanza hivyo, nikiamini Mungu amenipa nafac ya kuujenga mji mpya na wenye nguvu.
Baada ya muda flan mpenz wangu alijifungua salama nikafurahi tukiwa kama familia, tukasema "THE GREAT LION HAS BORN" maana ni dume alizaliwa. Lakini mwisho wa siku mwanamke wangu akapona, na ikawa tunaangalia uwezekano wa kufunga ndoa, ili tuishi kihalali.
Kwa kweli mwanamke huyo akaanza kua mzito kwenye kushuhulikia taratibu za pamoja hasa mambo ya mafunzo ya ndoa kanisani, maana tulishapeleka majina yetu. Maana hivi ndiyo vitu vya muhimu katika kujiandaa kuibariki ndoa, kuliko kufikiria sana ma sherehe sherehe.
Kuna kipindi mwanamke huyo alikuja kumuambia mama yake kwamba mtoto siyo wa kwangu na hajui itakuaje huko mbeleni na anaogopa ndoa ifungwe, kwan moyo wake unamsuta kwa kucheat. Na nilihic ndoto kuyasikia hayo kutoka kwake.
Hapa ninapoongea sijafunga ndoa nae, kila mtu na maisha yake, maana ilinibidi nipotee kabisa, na iliwaogopesha sana familia yangu. Na imebaki hivi hivi, hakuna kinachoeleweka, mama mkwe akiniangalia huwa kama anataka kulia kabisa, hajawah kunieleza chochote. Now niko na mshe zangu.
Kikubwa mimi namshukuru Mungu maana yeye ndiyo muweza wa yote, Nililia sana, mpk kesho nikikumbuka nitalia vile vile. Ila itafika wakati kidonda changu kitapona tu kwa kuumizwa na kubondwa bondwa ndani ya moyo wangu. Maisha lazima yaendelee, wapo wataomcheka Ruge lkn Boss ameumizwa na jambo lisikie kwa mchiz mwingine, omba yasikukute wazee.
Men out there TUMUOMBEE mwenzetu awe MTULIVU na SUBIRA, kwani atapata mwingine aliye wa kweli.