Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,972
- 10,465
Sio haki kabisa bro. Halafu ukute polisi aliyemsingizia jamaa bado anadunda mtaani, bila kukamatwa wala niniSerekali lazima iwee na utaratibu wa kuwalipa Hawa watu fidia,miaka kumi na mojaa mnampa buku real?
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app