Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,443
- 6,986
Niliwaza kama wewe before, hapo ndo pa kuanzia na ikibidi ye na familia yake nzima lazima walipie machungu yangu.ningemtafuta yule askari aliyenikamata mara ya kwanza anionyeshe kaburi la niliye muua...ningerudi tena kutumikia kifungo....