Kisa cha masalia Wasabato na hali yetu ya sasa

JERUSALEMU

JF-Expert Member
Sep 19, 2012
3,106
3,523
Salamu wanajamvi!

Mwaka 2008, Mwezi Julai, Tanzania ilishuhudia tukio la aina yake la kiimani. Wahubiri wa Injili 17 wa madhehebu ya waadventist Wasabato masalia walipiga kambi uwanja wa ndege wa Dar es salaam wakisema wanataka kwenda kuhubiri Injili Ulaya na Marekani huku wakiwa hawana visa wala ticketi za kwenda huko.

WAO WALIDAI TIKETI ZAO NI BIBLIA NA KWAMBA MUNGU ATATENDA MIUJIZA. Askari wakawatimua. Siku tatu baadae wakarudi tena! Safari hii wakiwa 51! Kwa madai yaleyale.Serikali ikawatimua tena bila huruma. Imani pasipo maarifa.

Kisa hiki kinatufundisha nini? Tuweni na Imani lakini tusiache maarifa kando.Tutaangamia na Mungu hawezi kutusaidia.

Katika hali kama hii ya Covid-19 yatupasa tuwe timamu kimwili kiakili na kiroho. Kamwe tusiache maarifa kando. Maarifa yanatoka kwa Mungu. Mungu ndiye aliyetuhimiza kuyatafuta ili yatusaidie sisi binadamu kuishi kwa amani.

Covid-19 ni hatari. Kuamini kuwa ugonjwa huu utatokomea kwa kunawa maji tiririka na kuvaa barakoa ni Imani iliyopitiliza kama ya Wasabato masalia wa 2008.

Njia ya uhakika kuliko zote ingawa inadhoofisha uchumi ni lockdown walau kwa siku 30. Tena kama ikichukuliwa wakati sahihi. Tukichelewa kama ilivyo kuwa Italy na Spain au hata Marekani tutajuta. Hatuja chelewa bado.

Hakuna kibaya kama ubinafsi. Na ndio unao tugawanya. Kuna watu wanawaza sadaka hawataki kusikia habari ya lockdown. Kuna watu wanawaza biashara zao wanasahau ubinadamu! Ubinafsi.
 
JERUSALEMU,

COVID-19 ipo na inabidi tuendelee kuchuku hatua kujikinga na hili gonjwa but kuhusu Wasabato masalia ni ishu ambayo ilipikwa na wahuni tu wachache ambao walitaka kuchafua Wasabato kwa sababu ni dhehebu peke Duniani linalofuata misingi bora na mafundisho sahihi ya Biblia takatifu kama ambavyo Yesu alivyofanya akiwa hapa Duniani.
 
JERUSALEMU,

COVID-19 ipo na inabidi tuendelee kuchuku hatua kujikinga na hili gonjwa but kuhusu Wasabato masalia ni ishu ambayo ilipikwa na wahuni tu wachache ambao walitaka kuchafua Wasabato kwa sababu ni dhehebu peke Duniani linalofuata misingi bora na mafundisho sahihi ya Biblia takatifu kama ambavyo Yesu alivyofanya akiwa hapa Duniani.
Leo unawaita wenzako wahuni? Hao ndo wasababto wafuasi wa Ellen hao ndo wasabato kindaki ndaki.
 
Salamu wanajamvi!

Mwaka 2008, Mwezi Julai, Tanzania ilishuhudia tukio la aina yake la kiimani. Wahubiri wa Injili 17 wa madhehebu ya waadventist Wasabato masalia walipiga kambi uwanja wa ndege wa Dar es salaam wakisema wanataka kwenda kuhubiri Injili Ulaya na Marekani huku wakiwa hawana visa wala ticketi za kwenda huko.

WAO WALIDAI TIKETI ZAO NI BIBLIA NA KWAMBA MUNGU ATATENDA MIUJIZA. Askari wakawatimua. Siku tatu baadae wakarudi tena! Safari hii wakiwa 51! Kwa madai yaleyale.Serikali ikawatimua tena bila huruma. Imani pasipo maarifa.

Kisa hiki kinatufundisha nini? Tuweni na Imani lakini tusiache maarifa kando.Tutaangamia na Mungu hawezi kutusaidia.

Katika hali kama hii ya Covid-19 yatupasa tuwe timamu kimwili kiakili na kiroho. Kamwe tusiache maarifa kando. Maarifa yanatoka kwa Mungu. Mungu ndiye aliyetuhimiza kuyatafuta ili yatusaidie sisi binadamu kuishi kwa amani.

Covid-19 ni hatari. Kuamini kuwa ugonjwa huu utatokomea kwa kunawa maji tiririka na kuvaa barakoa ni Imani iliyopitiliza kama ya Wasabato masalia wa 2008.

Njia ya uhakika kuliko zote ingawa inadhoofisha uchumi ni lockdown walau kwa siku 30. Tena kama ikichukuliwa wakati sahihi. Tukichelewa kama ilivyo kuwa Italy na Spain au hata Marekani tutajuta. Hatuja chelewa bado.

Hakuna kibaya kama ubinafsi. Na ndio unao tugawanya. Kuna watu wanawaza sadaka hawataki kusikia habari ya lockdown. Kuna watu wanawaza biashara zao wanasahau ubinadamu! Ubinafsi.
Nadhani kunatofauti kati ya dhehebu la wasabato masalia na dhehebu la waadventista wasabato s.d.a, walio enda uwanja wa ndege walikuwa wasabato masalia, ila wote wanaabudu jumamosi. Ngoja waje watatuambia
 
Wale hawakuwa Seventh Day Adventists kama sijakosea kulitaja jina lao.

Wasabato wa dhehebu la SDA ni watu wanaoongozwa na katiba yao na wametapakaa dunia nzima sio kama nikivyokuwa nafiria mwanzo.

Kwa kifupi, wasabato ni dhehebu la watu wote wasomi na ambao sio wasomi.

Mfano; Watu kama kina Ben Carson_Katibu mkuu wa wizara marekani, na dakitari bingwa duniani wa upasuaji wa neurons.

David Magara: Judge mkuu wa Kenya.

Prof. Anangisye mkuu wa chuo cha DSM.

Devon Franklin, Makamu wa rais wa Colombia Pictures, Hollywood.

Pia hta wasanii wapo walio na imani hii japo dhehebu lao linapinga mziki wa dunia. Mfano: Davido wa Nigeria na Navy Kenzo wa Tanzania.

Mwanzo nikiwachukulia kama walokole kumbe sio kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JERUSALEMU,

COVID-19 ipo na inabidi tuendelee kuchuku hatua kujikinga na hili gonjwa but kuhusu Wasabato masalia ni ishu ambayo ilipikwa na wahuni tu wachache ambao walitaka kuchafua Wasabato kwa sababu ni dhehebu peke Duniani linalofuata misingi bora na mafundisho sahihi ya Biblia takatifu kama ambavyo Yesu alivyofanya akiwa hapa Duniani.
Wanafanya kama alivyofanya au kama alivyoagiza?
 
JERUSALEMU,

COVID-19 ipo na inabidi tuendelee kuchuku hatua kujikinga na hili gonjwa but kuhusu Wasabato masalia ni ishu ambayo ilipikwa na wahuni tu wachache ambao walitaka kuchafua Wasabato kwa sababu ni dhehebu peke Duniani linalofuata misingi bora na mafundisho sahihi ya Biblia takatifu kama ambavyo Yesu alivyofanya akiwa hapa Duniani.
hivi mkuu wasabato mnasemaje kumuhusu Yesu ni Mungu Mweza Yote au ni nani?
 
Wale hawakuwa Seventh Day Adventists kama sijakosea kulitaja jina lao.

Wasabato wa dhehebu la SDA ni watu wanaoongozwa na katiba yao na wametapakaa dunia nzima sio kama nikivyokuwa nafiria mwanzo.

Kwa kifupi, wasabato ni dhehebu la watu wote wasomi na ambao sio wasomi.

Mfano; Watu kama kina Ben Carson_Katibu mkuu wa wizara marekani, na dakitari bingwa duniani wa upasuaji wa neurons.

David Magara: Judge mkuu wa Kenya.

Prof. Anangisye mkuu wa chuo cha DSM.

Devon Franklin, Makamu wa rais wa Colombia Pictures, Hollywood.

Pia hta wasanii wapo walio na imani hii japo dhehebu lao linapinga mziki wa dunia. Mfano: Davido wa Nigeria na Navy Kenzo wa Tanzania.

Mwanzo nikiwachukulia kama walokole kumbe sio kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hiyo hao uliowataja ndio wamekufanya uamini wasabato kuwa sio walokole na hawakwenda uwanjani?
 
Wale hawakuwa Seventh Day Adventists kama sijakosea kulitaja jina lao.

Wasabato wa dhehebu la SDA ni watu wanaoongozwa na katiba yao na wametapakaa dunia nzima sio kama nikivyokuwa nafiria mwanzo.

Kwa kifupi, wasabato ni dhehebu la watu wote wasomi na ambao sio wasomi.

Mfano; Watu kama kina Ben Carson_Katibu mkuu wa wizara marekani, na dakitari bingwa duniani wa upasuaji wa neurons.

David Magara: Judge mkuu wa Kenya.

Prof. Anangisye mkuu wa chuo cha DSM.

Devon Franklin, Makamu wa rais wa Colombia Pictures, Hollywood.

Pia hta wasanii wapo walio na imani hii japo dhehebu lao linapinga mziki wa dunia. Mfano: Davido wa Nigeria na Navy Kenzo wa Tanzania.

Mwanzo nikiwachukulia kama walokole kumbe sio kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app


Na Hosea alokuwa Takukuru naye ni msabato!
 
Wale hawakuwa Seventh Day Adventists kama sijakosea kulitaja jina lao.

Wasabato wa dhehebu la SDA ni watu wanaoongozwa na katiba yao na wametapakaa dunia nzima sio kama nikivyokuwa nafiria mwanzo.

Kwa kifupi, wasabato ni dhehebu la watu wote wasomi na ambao sio wasomi.

Mfano; Watu kama kina Ben Carson_Katibu mkuu wa wizara marekani, na dakitari bingwa duniani wa upasuaji wa neurons.

David Magara: Judge mkuu wa Kenya.

Prof. Anangisye mkuu wa chuo cha DSM.

Devon Franklin, Makamu wa rais wa Colombia Pictures, Hollywood.

Pia hta wasanii wapo walio na imani hii japo dhehebu lao linapinga mziki wa dunia. Mfano: Davido wa Nigeria na Navy Kenzo wa Tanzania.

Mwanzo nikiwachukulia kama walokole kumbe sio kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kutaja hayo majina sio kigezo kwamba kuna wajinga wajinga ndani ya sabato. Trust me, wale ni wasabato wenye msimamo wa aina yake
 
Salamu wanajamvi!

Mwaka 2008, Mwezi Julai, Tanzania ilishuhudia tukio la aina yake la kiimani. Wahubiri wa Injili 17 wa madhehebu ya waadventist Wasabato masalia walipiga kambi uwanja wa ndege wa Dar es salaam wakisema wanataka kwenda kuhubiri Injili Ulaya na Marekani huku wakiwa hawana visa wala ticketi za kwenda huko.

WAO WALIDAI TIKETI ZAO NI BIBLIA NA KWAMBA MUNGU ATATENDA MIUJIZA. Askari wakawatimua. Siku tatu baadae wakarudi tena! Safari hii wakiwa 51! Kwa madai yaleyale.Serikali ikawatimua tena bila huruma. Imani pasipo maarifa.

Kisa hiki kinatufundisha nini? Tuweni na Imani lakini tusiache maarifa kando.Tutaangamia na Mungu hawezi kutusaidia.

Katika hali kama hii ya Covid-19 yatupasa tuwe timamu kimwili kiakili na kiroho. Kamwe tusiache maarifa kando. Maarifa yanatoka kwa Mungu. Mungu ndiye aliyetuhimiza kuyatafuta ili yatusaidie sisi binadamu kuishi kwa amani.

Covid-19 ni hatari. Kuamini kuwa ugonjwa huu utatokomea kwa kunawa maji tiririka na kuvaa barakoa ni Imani iliyopitiliza kama ya Wasabato masalia wa 2008.

Njia ya uhakika kuliko zote ingawa inadhoofisha uchumi ni lockdown walau kwa siku 30. Tena kama ikichukuliwa wakati sahihi. Tukichelewa kama ilivyo kuwa Italy na Spain au hata Marekani tutajuta. Hatuja chelewa bado.

Hakuna kibaya kama ubinafsi. Na ndio unao tugawanya. Kuna watu wanawaza sadaka hawataki kusikia habari ya lockdown. Kuna watu wanawaza biashara zao wanasahau ubinadamu! Ubinafsi.
Kamwe sikubaliani na sintokubaliana nawe, na yeyote mwenye wazo hilo, kwa sababu kuu zifuatazo, ambazo naomba uzijibu kwa ufasaha na uhalisia:-

1) Watanzania wengi (>70%) wanapata mahitaji yao kupitia sekta isiyo rasmi, km nishati (mkaa na kuni), vyakula, na mengineyo.

2) Watanzania wengi wa mijini (>80%) hutegemea mazao ya shambani, hasa vyakula kutoka mikoani na hawana jinsi na namna ya kuhifadhi kwa muda mrefu. Uthibitisho ni utitiri wa masoko bubu mijini.

3) Bado zaidi ya 59% ya wakazi wa mijini wanategemea biashara ya papo kwa hapo, kwa maisha yao ya kila siku, km mama ntilie, machinga, maduka ya bidhaa za mahitaji ya nyumbani, nk.

4) Wenye uwezo wa kuhifadhi vyakula, bado mfumo wa umeme ni wa kukatika katika.

5) Afya za WaTz wengi (>60%) siyo nzuri. Tembelea baadhi ya hospitali kunavyofurika wagonjwa na baadhi yao ni wale ambao maisha yao yote hutumia dawa km kisukari, BP, HIV, nk. Hawa wagonjwa watahitaji kwenda kwa matibabu na/au kupima/kuchukua dawa.

Njia ambazo zaweza kutumika kuzuia kusambaa kwa COVID-19, kama kila mwananchi atathamini uhai wake asiambukizwe, na wa mwenzake asiambukize ni zifuatazo:

1. Jitahidi kukaa na pesa cash zinazotosha matumizi kwa siku kadhaa kuliko kuzihifadhi benki (mabenki, vibanda vya pesa na ATM muda wowote unaweza sikja zimefungwa...) kwa wanaolipa kwa card hakikisha kukaa na cash pia.

2. Kama una uwezo (kifedha na hifadhi), nunua chakula cha kutosha kiweke ndani kama akiba, ili usilazimike kutoka, mara kwa mara, au kumtuma mmoja wa familia kwenda kununua.

3. Usipendelee kupanda bodaboda. Mgongoni kwa bodaboda ndipo yule mgonjwa wa corona alipopanda hiyo bodaboda alikuwa anapumulia hapo. Kama kuna ulazima wa kupanda basi vaa gloves na mask (kiziba mdomo na pua) ili kujikinga.

4. Usipende kuazima simu ya mtu na kuitumia kuongea na mtu. Simu inakuwa karibu sana na pua na mdomo unapoongea hivyo kunasa kirahisi hawa virusi (nyakati zingine huhifadhi unyevunyevu wa hewa uliyoipumua) na hivyo kuongelea simu ya mtu mwingine inakupa hatari kubwa ya kupata maambukizi.

5. Mazingira ya vijijini yanaweza kuwa salama zaidi kwa kuwa hakuna mwingiliano wala msongamano mkubwa wa watu. Ukiweza kwenda kijijini (kwa wale wanaotoka vijijini) itakufanya uwe salama zaidi.

6. Usipuuze maagizo ya kila siku yanayotolewa na mamlaka husika kama vile kuosha mikono, kupaka sanitizer, kunywa maji moto yenye limao/kitunguu swaumu/tangawizi ili kuongeza kinga (hata kama hauamini kama inaongeza kinga haikupunguzii kitu chochote kile ukitumia)

7. Kaa katika hali ya Neema. Tubu mara kwa mara. Sio wakati wa kugombana wala kuhifadhi kinyongo na mtu. Ipokee hii kama Neema ya kumrudia Mungu na kukaa karibu na Mungu. Ikitokea ukapata Neema ya kutangulia mbele za haki basi uende ukiwa umejaa neema (japo wengi hatutapenda kuisikia hii, but this is a golden chance)

8. Sali daima ukiiombea familia yako, watu wako wa karibu na pia usiache kuwaombea wengine.

La msingi, basi, tuendelee kujuzana kadri tunavyofunguliwa fahamu zetu za uelewa wa jinsi ya kujikinga na tiba ya gonjwa hili.
 
Kamwe sikubaliani na sintokubaliana nawe, na yeyote mwenye wazo hilo, kwa sababu kuu zifuatazo, ambazo naomba uzijibu kwa ufasaha na uhalisia:-

1) Watanzania wengi (>70%) wanapata mahitaji yao kupitia sekta isiyo rasmi, km nishati (mkaa na kuni), vyakula, na mengineyo.

2) Watanzania wengi wa mijini (>80%) hutegemea mazao ya shambani, hasa vyakula kutoka mikoani na hawana jinsi na namna ya kuhifadhi kwa muda mrefu. Uthibitisho ni utitiri wa masoko bubu mijini.

3) Bado zaidi ya 59% ya wakazi wa mijini wanategemea biashara ya papo kwa hapo, kwa maisha yao ya kila siku, km mama ntilie, machinga, maduka ya bidhaa za mahitaji ya nyumbani, nk.

4) Wenye uwezo wa kuhifadhi vyakula, bado mfumo wa umeme ni wa kukatika katika.

5) Afya za WaTz wengi (>60%) siyo nzuri. Tembelea baadhi ya hospitali kunavyofurika wagonjwa na baadhi yao ni wale ambao maisha yao yote hutumia dawa km kisukari, BP, HIV, nk. Hawa wagonjwa watahitaji kwenda kwa matibabu na/au kupima/kuchukua dawa.

Njia ambazo zaweza kutumika kuzuia kusambaa kwa COVID-19, kama kila mwananchi atathamini uhai wake asiambukizwe, na wa mwenzake asiambukize ni zifuatazo:

1. Jitahidi kukaa na pesa cash zinazotosha matumizi kwa siku kadhaa kuliko kuzihifadhi benki (mabenki, vibanda vya pesa na ATM muda wowote unaweza sikja zimefungwa...) kwa wanaolipa kwa card hakikisha kukaa na cash pia.

2. Kama una uwezo (kifedha na hifadhi), nunua chakula cha kutosha kiweke ndani kama akiba, ili usilazimike kutoka, mara kwa mara, au kumtuma mmoja wa familia kwenda kununua.

3. Usipendelee kupanda bodaboda. Mgongoni kwa bodaboda ndipo yule mgonjwa wa corona alipopanda hiyo bodaboda alikuwa anapumulia hapo. Kama kuna ulazima wa kupanda basi vaa gloves na mask (kiziba mdomo na pua) ili kujikinga.

4. Usipende kuazima simu ya mtu na kuitumia kuongea na mtu. Simu inakuwa karibu sana na pua na mdomo unapoongea hivyo kunasa kirahisi hawa virusi (nyakati zingine huhifadhi unyevunyevu wa hewa uliyoipumua) na hivyo kuongelea simu ya mtu mwingine inakupa hatari kubwa ya kupata maambukizi.

5. Mazingira ya vijijini yanaweza kuwa salama zaidi kwa kuwa hakuna mwingiliano wala msongamano mkubwa wa watu. Ukiweza kwenda kijijini (kwa wale wanaotoka vijijini) itakufanya uwe salama zaidi.

6. Usipuuze maagizo ya kila siku yanayotolewa na mamlaka husika kama vile kuosha mikono, kupaka sanitizer, kunywa maji moto yenye limao/kitunguu swaumu/tangawizi ili kuongeza kinga (hata kama hauamini kama inaongeza kinga haikupunguzii kitu chochote kile ukitumia)

7. Kaa katika hali ya Neema. Tubu mara kwa mara. Sio wakati wa kugombana wala kuhifadhi kinyongo na mtu. Ipokee hii kama Neema ya kumrudia Mungu na kukaa karibu na Mungu. Ikitokea ukapata Neema ya kutangulia mbele za haki basi uende ukiwa umejaa neema (japo wengi hatutapenda kuisikia hii, but this is a golden chance)

8. Sali daima ukiiombea familia yako, watu wako wa karibu na pia usiache kuwaombea wengine.

La msingi, basi, tuendelee kujuzana kadri tunavyofunguliwa fahamu zetu za uelewa wa jinsi ya kujikinga na tiba ya gonjwa hili.


Namba 7 nimecheka kwakweli
 
k
Wale hawakuwa Seventh Day Adventists kama sijakosea kulitaja jina lao.

Wasabato wa dhehebu la SDA ni watu wanaoongozwa na katiba yao na wametapakaa dunia nzima sio kama nikivyokuwa nafiria mwanzo.

Kwa kifupi, wasabato ni dhehebu la watu wote wasomi na ambao sio wasomi.

Mfano; Watu kama kina Ben Carson_Katibu mkuu wa wizara marekani, na dakitari bingwa duniani wa upasuaji wa neurons.

David Magara: Judge mkuu wa Kenya.

Prof. Anangisye mkuu wa chuo cha DSM.

Devon Franklin, Makamu wa rais wa Colombia Pictures, Hollywood.

Pia hta wasanii wapo walio na imani hii japo dhehebu lao linapinga mziki wa dunia. Mfano: Davido wa Nigeria na Navy Kenzo wa Tanzania.

Mwanzo nikiwachukulia kama
 
Wale hawakuwa Seventh Day Adventists kama sijakosea kulitaja jina lao.

Wasabato wa dhehebu la SDA ni watu wanaoongozwa na katiba yao na wametapakaa dunia nzima sio kama nikivyokuwa nafiria mwanzo.

Kwa kifupi, wasabato ni dhehebu la watu wote wasomi na ambao sio wasomi.

Mfano; Watu kama kina Ben Carson_Katibu mkuu wa wizara marekani, na dakitari bingwa duniani wa upasuaji wa neurons.

David Magara: Judge mkuu wa Kenya.

Prof. Anangisye mkuu wa chuo cha DSM.

Devon Franklin, Makamu wa rais wa Colombia Pictures, Hollywood.

Pia hta wasanii wapo walio na imani hii japo dhehebu lao linapinga mziki wa dunia. Mfano: Davido wa Nigeria na Navy Kenzo wa Tanzania.

Mwanzo nikiwachukulia kama walokole kumbe sio kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwani hakuna walokole public figures?
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom