KISA CHA KWELI, USHAURI WENU

KISA CHA KWELI, USHAURI WENU

bullion

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2014
Posts
309
Reaction score
112
Kuna Jirani yangu alikuwa na mchumba wake, alimpenda Sana. Kabla hawajafunga ndoa jamaa akapata matatizo ya kiafya. Magonjwa ya kila aina Kwa takribani mwaka mzima anahangaika kujiuguza. Yule mchumba kuona vile akaanza kumletea visa mgonjwa, namwisho WA siku akumuacha jamaa ingAli akiwa anahangaika na maradhi yake. Mungu mkubwa mwaka huu mwezi WA Saba jamaa akarecover. Kumbuka familia zote zinafahamu uchumba huu, na mahari ishalipwa, Ila mwanamke akawa na MTU mwingine. Baada ya jamaa kujua hivyo, akaamua kulipa kisasi Kwa kutembea na marafiki WA aliyekuwa mchumba wake, na baadaye aliyekuwa mchumba wake akajua. Kesi kama hii iamuliwe vipi
Je warudiane, na warudiane VP, au kila MTU aendelee na maisha yake, na je Kwa dini Yao italeta maana.



Nawasilisha
 
Baada ya jamaa kujua hivyo, akaamua kulipa kisasi Kwa kutembea na marafiki WA aliyekuwa mchumba wake, na baadaye aliyekuwa mchumba wake akajua. Kesi kama hii iamuliwe vipi
Je warudiane, na warudiane VP, au kila MTU aendelee na maisha yake, na je Kwa dini Yao italeta maana.
Hakuna kesi hapo
Kila mmoja aendelee na maisha yake.
Maadam mgojwa kisha mtambua mwenza wake sio mtu sahihi, kutokana na changamoto ya ugonjwa aliyokuwa nayo.
Asonge mbele.
 
Mwwafanyakazi st: 24998461 said:
Hakuna kesi hapo
Kila mmoja aendelee na maisha yake.
Maadam mgojwa kisha mtambua mwenza wake sio mtu sahihi, kutokana na changamoto ya ugonjwa aliyokuwa nayo.
Asonge mbele.
Je kidini wafanyeje wakati tayari uchumba unatambulika. Au waachane juu Kwa juu
 
Hakuna kesi hapo
Kila mmoja aendelee na maisha yake.
Maadam mgojwa kisha mtambua mwenza wake sio mtu sahihi, kutokana na changamoto ya ugonjwa aliyokuwa nayo.
Asonge mbele.
Pia mwanamke anasema yametokea hayo kwa vile alimvumilia jamaa Hadi hisia zikazidi ndio akafanya hivyo, je anastahili msamaha, na pia ukumbuke jamaa ameshatembea na rafiki zake.Dunia ina mambo mengi
 
Hapo hakuna uvumilivu baina yao na ndoa ishakufa since jamaa yuko kitandan
 
Wanawake sio -mara nying sana inatokea hivyo
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hapo hakuna uvumilivu baina yao nmiliaa ndoa ishakufa since jamaa yuko kitandan
Mwanaume ana kosa gani hapo. Na je mwanamke kosa lake lipi, ikiwa anasema alimvumilia Sana jamaa kimwili ndio ikatokea hivyo
 
Dini inahusikaje kwenye uchumba, manake uchumba ni uzinzi tu. Hakuna kesi, wakae waamue kila mmoja anataka nini wafuate nyoyo zao. Mapenzi hayapigwi ripu wala plasta, skimming haitasaidia
 
  • Thanks
Reactions: SDG

Similar Discussions

Back
Top Bottom