Uvumilivu hauvunjwi na ikitokea mwanamke kapata tatizo lolote la kiafya nadhan mshikaji atathibitisha ule msemo "what come around goes around"Mwanaume ana kosa gani hapo. Na je mwanamke kosa lake lipi, ikiwa anasema alimvumilia Sana jamaa kimwili ndio ikatokea hivyo
Uwe unaelewa, jirani ni neno Tu. Ni ndugu yanguTzComeJirani st: 24998617 said:Kisa cha jirani yako ushauri upewe wewe!!?, maajabu ya Mussa haya walahi, khaah...!!
Mgonjwa kapona,kalipa kisasi?Kuna Jirani yangu alikuwa na mchumba wake, alimpenda Sana. Kabla hawajafunga ndoa jamaa akapata matatizo ya kiafya. Magonjwa ya kila aina Kwa takribani mwaka mzima anahangaika kujiuguza. Yule mchumba kuona vile akaanza kumletea visa mgonjwa, namwisho WA siku akumuacha jamaa ingAli akiwa anahangaika na maradhi yake. Mungu mkubwa mwaka huu mwezi WA Saba jamaa akarecover. Kumbuka familia zote zinafahamu uchumba huu, na mahari ishalipwa, Ila mwanamke akawa na MTU mwingine. Baada ya jamaa kujua hivyo, akaamua kulipa kisasi Kwa kutembea na marafiki WA aliyekuwa mchumba wake, na baadaye aliyekuwa mchumba wake akajua. Kesi kama hii iamuliwe vipi
Je warudiane, na warudiane VP, au kila MTU aendelee na maisha yake, na je Kwa dini Yao italeta maana.
Nawasilisha
Je wakae vikao kuvunja uchumba,au kila mtu apotee kivyake. Je inaleta maana kidini.Mgonjwa kapona,kalipa kisasi?
Hakuna kisasi hapo mgonjwa amedhamiria kufanya waliyofanya.
Warudiane kwa grounds zipi?Mchumba amepata mtu mwingine aendelee nae na jamaa aendelee na maisha yake
Hebu nisaidie kwanza,dini za wahusikaJe wakae vikao kuvunja uchumba,au kila mtu apotee kivyake. Je inaleta maana kidini.
Muslim,Hebu nisaidie kwanza,dini za wahusika
Je sasa ninikifanyike, waachane juu kwa juu, au wakae vikaoUchumba sio ndoa bhana na demu kazingua mapema tena wakati wa matatizo,hapana ndoa hapo
Hapana sio mimi, ni ndugu yanguSema tu ni wewe ndio uliekuwa unaumwa,na sasa umepona ukatembea na marafiki zake na hapa unataka tukushauri urudiane nae
ushauri unapokelewakiroho safi tu jamaa amuache na 50 zake
Je wamalizane vp, mahusiano ya kifamilia pia yafe au inakuwajeUchumba sio ndoa.Ndoa ndiyo inaanishwa kidini.Labda itokee kama kwa Yusufu na mchumba wake bikira Maria,ambapo ilibidi Mungu kwa Roho mtakatifu aingilie kati kuuendeleza huo uchumba kwa kusudi lake Mungu.
Wengi humu wanakuja kwa gia...oooh rafiki yangu ooh jamaa yangu ooh sijui nani yangu ila kiuhalisia ni wao wenyewe ndo wahusika'Hapana sio mimi, ni ndugu yangu
Pole japo kuwa hukutaka kujisema kuwa ni Wewe.Kuna Jirani yangu alikuwa na mchumba wake, alimpenda Sana. Kabla hawajafunga ndoa jamaa akapata matatizo ya kiafya. Magonjwa ya kila aina Kwa takribani mwaka mzima anahangaika kujiuguza. Yule mchumba kuona vile akaanza kumletea visa mgonjwa, namwisho WA siku akumuacha jamaa ingAli akiwa anahangaika na maradhi yake. Mungu mkubwa mwaka huu mwezi WA Saba jamaa akarecover. Kumbuka familia zote zinafahamu uchumba huu, na mahari ishalipwa, Ila mwanamke akawa na MTU mwingine. Baada ya jamaa kujua hivyo, akaamua kulipa kisasi Kwa kutembea na marafiki WA aliyekuwa mchumba wake, na baadaye aliyekuwa mchumba wake akajua. Kesi kama hii iamuliwe vipi
Je warudiane, na warudiane VP, au kila MTU aendelee na maisha yake, na je Kwa dini Yao italeta maana.
Nawasilisha
Mkuu nijuavyo mimi, dini haitambui mahusiano ya uchumba bali mpaka wawili hawa wangekula kiapo cha uaminifu na utii wa ndoa mbele ya padre/mchungaji ama shekh.Je familia zikae kuvunja uchumba, na je wasipovunja kila MTU akashika hamsini zake, kidini italeta maana