KISA CHA KWELI, USHAURI WENU

KISA CHA KWELI, USHAURI WENU

Mwanaume ana kosa gani hapo. Na je mwanamke kosa lake lipi, ikiwa anasema alimvumilia Sana jamaa kimwili ndio ikatokea hivyo
Uvumilivu hauvunjwi na ikitokea mwanamke kapata tatizo lolote la kiafya nadhan mshikaji atathibitisha ule msemo "what come around goes around"
 
  • Thanks
Reactions: SDG
[QUOTunatambulika sti, post: 24998605, member: 20070"]Dini inahusikaje kwenye uchumba, manake uchumba ni uzinzi tu. Hakuna kesi, wakae waamue kila mmoja anataka nini wafuate nyoyo zao. Mapenzi hayapigwi ripu wala plasta, skimming haitasaidia[/QUOTE]
Dini inatambua uchumba, je wakaeje? Warudiane ama, na je mwanamke anawezaje kumuacha aliye naye
 
TzComeJirani st: 24998617 said:
Kisa cha jirani yako ushauri upewe wewe!!?, maajabu ya Mussa haya walahi, khaah...!!
Uwe unaelewa, jirani ni neno Tu. Ni ndugu yangu
 
Kuna Jirani yangu alikuwa na mchumba wake, alimpenda Sana. Kabla hawajafunga ndoa jamaa akapata matatizo ya kiafya. Magonjwa ya kila aina Kwa takribani mwaka mzima anahangaika kujiuguza. Yule mchumba kuona vile akaanza kumletea visa mgonjwa, namwisho WA siku akumuacha jamaa ingAli akiwa anahangaika na maradhi yake. Mungu mkubwa mwaka huu mwezi WA Saba jamaa akarecover. Kumbuka familia zote zinafahamu uchumba huu, na mahari ishalipwa, Ila mwanamke akawa na MTU mwingine. Baada ya jamaa kujua hivyo, akaamua kulipa kisasi Kwa kutembea na marafiki WA aliyekuwa mchumba wake, na baadaye aliyekuwa mchumba wake akajua. Kesi kama hii iamuliwe vipi
Je warudiane, na warudiane VP, au kila MTU aendelee na maisha yake, na je Kwa dini Yao italeta maana.



Nawasilisha
Mgonjwa kapona,kalipa kisasi?
Hakuna kisasi hapo mgonjwa amedhamiria kufanya waliyofanya.
Warudiane kwa grounds zipi?Mchumba amepata mtu mwingine aendelee nae na jamaa aendelee na maisha yake
 
Mgonjwa kapona,kalipa kisasi?
Hakuna kisasi hapo mgonjwa amedhamiria kufanya waliyofanya.
Warudiane kwa grounds zipi?Mchumba amepata mtu mwingine aendelee nae na jamaa aendelee na maisha yake
Je wakae vikao kuvunja uchumba,au kila mtu apotee kivyake. Je inaleta maana kidini.
 
Uchumba sio ndoa bhana na demu kazingua mapema tena wakati wa matatizo,hapana ndoa hapo
 
Sema tu ni wewe ndio uliekuwa unaumwa,na sasa umepona ukatembea na marafiki zake na hapa unataka tukushauri urudiane nae
 
Uchumba sio ndoa.Ndoa ndiyo inaanishwa kidini.Labda itokee kama kwa Yusufu na mchumba wake bikira Maria,ambapo ilibidi Mungu kwa Roho mtakatifu aingilie kati kuuendeleza huo uchumba kwa kusudi lake Mungu.
 
Uchumba sio ndoa.Ndoa ndiyo inaanishwa kidini.Labda itokee kama kwa Yusufu na mchumba wake bikira Maria,ambapo ilibidi Mungu kwa Roho mtakatifu aingilie kati kuuendeleza huo uchumba kwa kusudi lake Mungu.
Je wamalizane vp, mahusiano ya kifamilia pia yafe au inakuwaje
 
Kuna Jirani yangu alikuwa na mchumba wake, alimpenda Sana. Kabla hawajafunga ndoa jamaa akapata matatizo ya kiafya. Magonjwa ya kila aina Kwa takribani mwaka mzima anahangaika kujiuguza. Yule mchumba kuona vile akaanza kumletea visa mgonjwa, namwisho WA siku akumuacha jamaa ingAli akiwa anahangaika na maradhi yake. Mungu mkubwa mwaka huu mwezi WA Saba jamaa akarecover. Kumbuka familia zote zinafahamu uchumba huu, na mahari ishalipwa, Ila mwanamke akawa na MTU mwingine. Baada ya jamaa kujua hivyo, akaamua kulipa kisasi Kwa kutembea na marafiki WA aliyekuwa mchumba wake, na baadaye aliyekuwa mchumba wake akajua. Kesi kama hii iamuliwe vipi
Je warudiane, na warudiane VP, au kila MTU aendelee na maisha yake, na je Kwa dini Yao italeta maana.



Nawasilisha
Pole japo kuwa hukutaka kujisema kuwa ni Wewe.
Kipindi cha uchumba ni muda sahihi wa kusomana na kupimana vigezo.

Hapo ndo muda kuyajua mapungufu na mazuri ya mwenza wako mtarajiwa na kuamua kama unaweza kuvumilia hayo.

Ni muda muafaka sana kuachana endapo roho zenu hazikuridhika na mwenzake.

Kuachwa ktk uchumba hakuna lawama na wala dini haihusiki hapo maana hamjapelekana kwenye dini bado hapo.
 
Je familia zikae kuvunja uchumba, na je wasipovunja kila MTU akashika hamsini zake, kidini italeta maana
Mkuu nijuavyo mimi, dini haitambui mahusiano ya uchumba bali mpaka wawili hawa wangekula kiapo cha uaminifu na utii wa ndoa mbele ya padre/mchungaji ama shekh.

Hapo kilichopo ni jamaa kwenda ku claim mahari yake au apotezee.

Halafu huyo mwanamke ni nyoka hafai tena kuwa nae na kinachomtesa ni grief kuona ya kuwa marafiki zake wametafunwa na jamaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom