- Thread starter
- #41
Umepatwa vyema, kwa hiyo mwanamke anaumia tu kwa hilo, ila hana mapenzi na jamaa. DahMkuu nijuavyo mimi, dini haitambui mahusiano ya uchumba bali mpaka wawili hawa wangekula kiapo cha uaminifu na utii wa ndoa mbele ya padre/mchungaji ama shekh.
Hapo kilichopo ni jamaa kwenda ku claim mahari yake au apotezee.
Halafu huyo mwanamke ni nyoka hafai tena kuwa nae na kinachomtesa ni grief kuona ya kuwa marafiki zake wametafunwa na jamaa.