miminimama
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 703
- 1,828
Halafu huyo dada alikuwa mke wa mtu.
Ukivuta picha huwezi amini, kweli myu huwezi kumjua kwa comment zakeHalafu huyo dada alikuwa mke wa mtu.

ila alichomfanyia mwenzie sio poa...maana analalama khaa!ila alichomfanyia mwenzie sio poa...maana analalama khaa!
Mleta Uzi ukomege
Sent using Jamii Forums mobile app




Huoni kasema kwamba staili zote walimaliza? Pigia mstari hapo.Huo ni ukichaa..hakuna mapenzi ya namna hio!! Labda tuu alikuwa anakupa kitu gan hasa cha totauti ambacho kwa mkeo hukuwa unakipata??? Katika vitu navomshukuru Mungu ni kunpa ubahili wa kiwango cha SGR hasa linapokujaga swala la kuhonga kwa kiwango kikubwa!
Kasema style zote walimaliza...Labda tigo jamani.
Atuambie kama tigo haikuhusika.
Mdogo wangu, kwa hili niite mmbea tu, ukiniambia nitakupenda zaidi
Rafiki si wajua navyokupenda 😍😍😍😍😍 naomba ning'ate sikio nimetoka kapa kika nikijaribuuu inakataaaaa
Kaka tafuta hela utuletee wadogo zako si unaona tunavyozurura humu hii ni ishara kwamba hatuna ishu hatuna dili Corona imetupiga moja kwa moja kwenye ishu zetu.Mdogo wangu, kwa hili niite mmbea tu, ukiniambia nitakupenda zaidi
😂😂😂
Style gani jamani Godfrey? Lakini alipata ujasiri wa kuwa na mke wa mtu na kufanya nae yote hayo?Kasema style zote walimaliza...
Mdogo wangu, kwa hili niite mmbea tu, ukiniambia nitakupenda zaidi
![]()
Rafiki si wajua navyokupendanaomba ning'ate sikio nimetoka kapa kika nikijaribuuu inakataaaaa






Sasa babe inakuwaje 😀😀
Unaacha watoto wako bila ada unapeleka watoto wa mchepuko shule.Hii story ina uongo mwingi!