Kisa cha kifo cha mwanamalundi.

Kisa cha kifo cha mwanamalundi.

MC44

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2019
Posts
2,168
Reaction score
3,304
Habari wana intelligence.
Kuna simulizi niliwahi kuisikia kutoka usukumanj ambapo anatoka mwanamalundi.

Humu zimeshaandikwa sifa zake nyingi sana sina haja ya kurudia.

Huyu bwana alikuwa na visa na watu wengi kutokana na jinsi alivyokuwa hivyo wengine wakawa wanatafuta njia ya kumuua au kumdhuru.

Ilikuwa akisema neno linatokea kweli.

Katika pitapita zake porini akabanwa na haja kubwa. Bila hiyana akachutama na kukata gogo.
Kumbe lile tukio kuna asidi wake wanamdere hivyo alipoondoka jamaa walichukua mzigo wake na kuuweka mlangoni kwake.
Mwanamalundi aliporudi nyumbani alikuta mzigo mlangoni na hapo hapo akatamka neno.

" Aliye ku*ya hapa na afe"
Basi mwenye mzigo wake akafariki ambapo ni yeye mwenyewe.

Hii simulizi nimeikuta usukumani.
Nipo tayari kukosolewa
 
Habari wana intelligence.
Kuna simulizi niliwahi kuisikia kutoka usukumanj ambapo anatoka mwanamalundi.

Humu zimeshaandikwa sifa zake nyingi sana sina haja ya kurudia.

Huyu bwana alikuwa na visa na watu wengi kutokana na jinsi alivyokuwa hivyo wengine wakawa wanatafuta njia ya kumuua au kumdhuru.

Ilikuwa akisema neno linatokea kweli.

Katika pitapita zake porini akabanwa na haja kubwa. Bila hiyana akachutama na kukata gogo.
Kumbe lile tukio kuna asidi wake wanamdere hivyo alipoondoka jamaa walichukua mzigo wake na kuuweka mlangoni kwake.
Mwanamalundi aliporudi nyumbani alikuta mzigo mlangoni na hapo hapo akatamka neno.

" Aliye ku*ya hapa na afe"
Basi mwenye mzigo wake akafariki ambapo ni yeye mwenyewe.

Hii simulizi nimeikuta usukumani.
Nipo tayari kukosolewa
Wasukuma na uganga/ushirikina. Wanauamini sana
 
Hiyo story yote ni ya uwongo tupu mshikaji alifariki kijana kabisa yaani 43 years tu
 
Alikufaje wakati yeye alikunya porini akunya pale alipopatamkia maneno labda ilibidi aseme ivi mwenye mavi aya afe apo sahihi pale yaliwekwa tu na mtu kayabeba toka porin kwaiyo mtoa post nimekupinga kwa hoja iyo.
Aliyekunya hapa na afe.
Hakujua kama mtu anaweza kuhamisha kwa hiyo ile kauli ikamtafuta mwenye nayo tuu
 
Hiyo story yote ni ya uwongo tupu mshikaji alifariki kijana kabisa yaani 43 years tu
Umri umekataaa.
Leta hoja nyingine
Screenshot_20200530-064358.png
 
Habari wana intelligence.
Kuna simulizi niliwahi kuisikia kutoka usukumanj ambapo anatoka mwanamalundi.

Humu zimeshaandikwa sifa zake nyingi sana sina haja ya kurudia.

Huyu bwana alikuwa na visa na watu wengi kutokana na jinsi alivyokuwa hivyo wengine wakawa wanatafuta njia ya kumuua au kumdhuru.

Ilikuwa akisema neno linatokea kweli.

Katika pitapita zake porini akabanwa na haja kubwa. Bila hiyana akachutama na kukata gogo.
Kumbe lile tukio kuna asidi wake wanamdere hivyo alipoondoka jamaa walichukua mzigo wake na kuuweka mlangoni kwake.
Mwanamalundi aliporudi nyumbani alikuta mzigo mlangoni na hapo hapo akatamka neno.

" Aliye ku*ya hapa na afe"
Basi mwenye mzigo wake akafariki ambapo ni yeye mwenyewe.

Hii simulizi nimeikuta usukumani.
Nipo tayari kukosolewa
mkisha shiba mnakosa kabisa vya kuandika hii inafaa iende kwenye jukwaa la Jokes/Utani + Udaku/Gossips
 
Back
Top Bottom