Kisa cha bikira wa mobutu

Kisa cha bikira wa mobutu

Kwa hiyo meli zilizamishwa mtoni, wenzetu hawana bahari.
 
Matatizo ya kutawala badala ya kuongoza kidogo kidogo tu tutafika huko huko
 
LIKUD za siku mkuu , hicho kisa kuna wengine wanadai kua wale mabinti walibakwa na wanajeshi wa mobutu na baadae wakawauwa baada ya ubakaji ule ili wasitoe siri na ndio maana wazazi nao pia walipokea makuta ya mingi.
Inawezekana pia though kwa nature ya mobutu Nina subscribe kwenye ritual theory
 
zaire ilitokana na neno la kireno zah- eer na wakongo hulitamka kama nzere au nzadi maana yake ni mtu mkubwa unaopokea maji kutoka mito yote , hivo mwanamajumui aliyesema ni shetani kakosea sana. akasome vizuri
 
zaire ilitokana na neno la kireno zah- eer na wakongo hulitamka kama nzere au nzadi maana yake ni mtu mkubwa unaopokea maji kutoka mito yote , hivo mwanamajumui aliyesema ni shetani kakosea sana. akasome vizuri
Jina lipo vizuri sana
 
Back
Top Bottom