Kisa cha bikira wa mobutu

Kisa cha bikira wa mobutu

zaire ilitokana na neno la kireno zah- eer na wakongo hulitamka kama nzere au nzadi maana yake ni mtu mkubwa unaopokea maji kutoka mito yote , hivo mwanamajumui aliyesema ni shetani kakosea sana. akasome vizuri
MTU mkubwa/Mti mkubwa au MTO mkubwa?
 
hata kama kiasili matambiko ya wakongoman wengi ni kwenye mito ukianzia fasi ya lubumbashi, kasai, kalemi, goma, kisangani , uvilla na maeneo mengine wao huamini mito kama sehemu zenye mizimu
 
hata kama kiasili matambiko ya wakongoman wengi ni kwenye mito ukianzia fasi ya lubumbashi, kasai, kalemi, goma, kisangani , uvilla na maeneo mengine wao huamini mito kama sehemu zenye mizimu
Bila kusahau Moba
 
Sifahamu mkuu, japo kuna mzee mmoja aliniambia kua ilipandikizwa kwenye toilet paper kupitia mmoja wa walinzi wake wa karibu
Alikuwa infected na mmama wa kizungu ..She was revenging for the death of her husband who was murdered by Mobutu's son.

Mobutu was warned by his sangomas to stay away from the muzungu
 
Congo hiii mtu anamili suti zaid ya 200
InShot_20180801_183441069.jpg
InShot_20180801_184151943.jpg
 
Back
Top Bottom