Kiprotokali IGP anampigia saluti DC?

Kiprotokali IGP anampigia saluti DC?

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,606
images.jpg


Wataalam naomba mnisaidie! Hivi kiprotocali IGP akikutana na DC anagonga saluti au wanapeana mkono tu kawaida?
 
Apana wote lazima wampigie maliyamungu mtoto pendwa wa mfalme
 
Ukiachana na neno IGP kumbuka tu kwamba Huyo ni askari hata kabla hajaanza kuitwa IGP, askari anatakiwa kumpigia saluti Amiri jeshi mkuu pamoja na wateule wake wote(DC,RC,PM, Ministers n.k).

Kingine wabunge nao wanapigiwa saluti, majaji wanapigiwa saluti, marehemu yeyote anapigiwa saluti.

Kwa mantiki hiyo Askari akiwa IGP uaskari unabaki pale pale na anaendelea kumheshimu Rais na wateule wake including DC.
 
Ukiachana na neno IGP kumbuka tu kwamba Huyo ni askari hata kabla hajaanza kuitwa IGP, askari anatakiwa kumpigia saluti Amiri jeshi mkuu pamoja na wateule wake wote(DC,RC,PM, Ministers n.k).

Kingine wabunge nao wanapigiwa saluti, majaji wanapigiwa saluti, marehemu yeyote anapigiwa saluti.

Kwa mantiki hiyo Askari akiwa IGP uaskari unabaki pale pale na anaendelea kumheshimu Rais na wateule wake including DC.
Marehemu naye kumbe anapigiwa saluti?
 
Lazima apige DC anamlaka na anapeperusha bendera ya Taifa ila IGP anakua na bendera ya jeshi na IGP hana mamlaka ila anamlaka ndani ya jeshi la polisi tu,so kiprotokali lazima asaluti kwa DC's,RC's,Mwaziri na kwendlea juu pia IGP/CDF anapofika katika mkoa au wilaya flani lazma boss wa pale ambaye ni DC au RC awe taarifa sababu ndiye mwenyekiti wa kamati ya ulizi na usalama wa eneo husika.tofauti hipo huyu DC au RC wanamlaka na wanakua na bendera za taifa ila hawa hawanamamlaka hisipokua mamlaka yao yapo majeshini na wanakua na bendera za majeshi mkuu .
 
Ukiachana na neno IGP kumbuka tu kwamba Huyo ni askari hata kabla hajaanza kuitwa IGP, askari anatakiwa kumpigia saluti Amiri jeshi mkuu pamoja na wateule wake wote(DC,RC,PM, Ministers n.k).

Kingine wabunge nao wanapigiwa saluti, majaji wanapigiwa saluti, marehemu yeyote anapigiwa saluti.

Kwa mantiki hiyo Askari akiwa IGP uaskari unabaki pale pale na anaendelea kumheshimu Rais na wateule wake including DC.
Swala la mtu kuwa Askari haimaanishi atapiga salute kwa kila mtu. Salute zina sheria zake za nani atapigiwa salute na nani. So kabla hujafanya conclusion fanya uchunguzi kwanza.
 
Ukiachana na neno IGP kumbuka tu kwamba Huyo ni askari hata kabla hajaanza kuitwa IGP, askari anatakiwa kumpigia saluti Amiri jeshi mkuu pamoja na wateule wake wote(DC,RC,PM, Ministers n.k).

Kingine wabunge nao wanapigiwa saluti, majaji wanapigiwa saluti, marehemu yeyote anapigiwa saluti.

Kwa mantiki hiyo Askari akiwa IGP uaskari unabaki pale pale na anaendelea kumheshimu Rais na wateule wake including DC.
Mbunge anapigiwa saluti? Are you serious?
 
Ukiachana na neno IGP kumbuka tu kwamba Huyo ni askari hata kabla hajaanza kuitwa IGP, askari anatakiwa kumpigia saluti Amiri jeshi mkuu pamoja na wateule wake wote(DC,RC,PM, Ministers n.k).

Kingine wabunge nao wanapigiwa saluti, majaji wanapigiwa saluti, marehemu yeyote anapigiwa saluti.

Kwa mantiki hiyo Askari akiwa IGP uaskari unabaki pale pale na anaendelea kumheshimu Rais na wateule wake including DC.
Acha uongo we
 
Kwani awamu hii bado kuna protokali? Acheni utani nyie. Ni shaghalabaghala kwa kwenda mbele. Haieleweki ni nani mkubwa kwa nani.
 
DC anapigiwa saluti na wenye nyota 2 kurudi chini hadi kuruta
Wewe ndie umejibu sahihi, wengine wanajibu wanavyojisikia na kuhisi, kama mtu hujui kitu ni bora ukae kimya, ukweli ni kwamba DC hupigiwa saluti na hao subordinate officers ambao ni kuanzia nyota mbili mpaka kuruta.
 
Ukiachana na neno IGP kumbuka tu kwamba Huyo ni askari hata kabla hajaanza kuitwa IGP, askari anatakiwa kumpigia saluti Amiri jeshi mkuu pamoja na wateule wake wote(DC,RC,PM, Ministers n.k).

Kingine wabunge nao wanapigiwa saluti, majaji wanapigiwa saluti, marehemu yeyote anapigiwa saluti.

Kwa mantiki hiyo Askari akiwa IGP uaskari unabaki pale pale na anaendelea kumheshimu Rais na wateule wake including DC.
Kwani IGP ni mteule wa nani?. Jeshini kuna tofauti kati ya askari na ofisa, chunguza utajua kila cheo cha ofisa kuna watu anao wapigia saluti na sio kila mteule wa raisi
 
Nyota zina maana gani hasa na zinasaidia nini
 
Back
Top Bottom