Kiprotokali IGP anampigia saluti DC?

Kiprotokali IGP anampigia saluti DC?

Kwa mujibu wa pgo cheo cha insp.kushuka chini ndio humpigia salute rc na dc zaidi ya hapo ni kujipendekeza tu. Isipokuwa waziri ambaye hupigiwa mpaka na ssp cheo cha kuanzia ukurugenzi msaidizi(ACP) hawapigagi salute hovyo hovyo kama wafanyavyo
 
Swala la mtu kuwa Askari haimaanishi atapiga salute kwa kila mtu. Salute zina sheria zake za nani atapigiwa salute na nani. So kabla hujafanya conclusion fanya uchunguzi kwanza.

we kilaza, we unajua nini?? sema hapa

haujui kitu,
 
Ukiachana na neno IGP kumbuka tu kwamba Huyo ni askari hata kabla hajaanza kuitwa IGP, askari anatakiwa kumpigia saluti Amiri jeshi mkuu pamoja na wateule wake wote(DC,RC,PM, Ministers n.k).

Kingine wabunge nao wanapigiwa saluti, majaji wanapigiwa saluti, marehemu yeyote anapigiwa saluti.

Kwa mantiki hiyo Askari akiwa IGP uaskari unabaki pale pale na anaendelea kumheshimu Rais na wateule wake including DC.
Usipotoshe watu, IGP hawezi kumpigia salute Dc labda awe hatambui wajibu wake.
 
Yes, bila shaka aweza.

IMG-20180126-WA0008.jpg
 
Tanzania: Police Officers Reminded On Saluting Leaders

Dodoma — Police officers in the country have been reminded to perform hand salutes to political leaders, including Members of Parliament and Representatives in Zanzibar's House of Representatives, as per provisions of the Police General Order (PGO) number 102.
Deputy Minister for Agriculture, Livestock and Fishery, William ole Nasha, made the reminder here yesterday when responding to a basic question by Special Seats MP, Fakharia Shomar Khamis, (CCM).

The minister responded to the question on behalf of the Minister for Home Affairs. Ms Fakharia had wanted to know the meaning of the salutation and the rank of police officers who are supposed to be saluted by their juniors.
Ole Nasha explained that the hand salute is part of salutations in the armed forces which are performed in accordance with legislation and regulations of the police force through PGO number 102. He stated that the PGO outlines political and other public officials to be saluted by police officers.
"Police officers at all ranks are supposed to salute the President and the Vice-President of the United Republic of Tanzania as well as the President, the First and Second Vice-President of the Revolutionary Government of Zanzibar," Ole Nasha explained.

ARTICLE CONTINUES AFTER ADVERTISEMENT

He mentioned other leaders entitled to the salute as the Prime Minister of the United Republic of Tanzania, the Chief Justice of the United Republic of Tanzania and the Chief Justice of the Revolutionary Government of Zanzibar.
Also on the list are Speaker of the Union Parliament and Speaker of Zanzibar's House of Representatives, cabinet ministers in both the Union Government and the Revolutionary Government of Zanzibar.

Ole Nasha mentioned other leaders as the Clerks of the Union Parliament and Zanzibar's House of Representatives respectively as well as MPs from both parliaments when they are in their constituencies or in parliament grounds.
He said the salutation also covers Regional Commissioners and Judges when in their areas of work while police officers with ranks ranging from constable to inspector are required to salute District Commissioners and magistrates at their places of work.

Read the original article on Daily News .
 
Duhhh naona ma ndata wamejaa humu ila inaonekana hilijambo halieleweki. Inabidi wawe wanafundishwa la sivyo watatiana aibu tu
 
PGO no 102, wanao ruhusiwa kumpigia salute mkuu wa wilaya ni kuanzia cheo cha police Constable (PC) hadi cheo cha Inspector.
 
Ukiachana na neno IGP kumbuka tu kwamba Huyo ni askari hata kabla hajaanza kuitwa IGP, askari anatakiwa kumpigia saluti Amiri jeshi mkuu pamoja na wateule wake wote(DC,RC,PM, Ministers n.k).

Kingine wabunge nao wanapigiwa saluti, majaji wanapigiwa saluti, marehemu yeyote anapigiwa saluti.

Kwa mantiki hiyo Askari akiwa IGP uaskari unabaki pale pale na anaendelea kumheshimu Rais na wateule wake including DC.
SIYO KWELI
 
View attachment 704166

Wataalam naomba mnisaidie! Hivi kiprotocali IGP akikutana na DC anagonga saluti au wanapeana mkono tu kawaida?

Polisi ni mateka wa hao wanasiasa. Na wanasiasa walivyo wahuni wanawapa vyeo askari maslahi. Na bahati mbaya hao askari maslahi nao wanajua kula na kipofu. Inshort wamekitana masterling wa kizungu na kihindi. Hapo nani zaidi. So usishangae hata IGP kumpigia saluti balozi wa nyumba 10 wa ccm kwa kisingizio cha kuunga mkono jitihada za rais.
 
Ukiachana na neno IGP kumbuka tu kwamba Huyo ni askari hata kabla hajaanza kuitwa IGP, askari anatakiwa kumpigia saluti Amiri jeshi mkuu pamoja na wateule wake wote(DC,RC,PM, Ministers n.k).

Kingine wabunge nao wanapigiwa saluti, majaji wanapigiwa saluti, marehemu yeyote anapigiwa saluti.

Kwa mantiki hiyo Askari akiwa IGP uaskari unabaki pale pale na anaendelea kumheshimu Rais na wateule wake including DC.
Sio kumpigia tu salute bali atakubali amri anayopewa. Kitu cha msingi kwa askari yeyote kutoka jeshi loloteni kupokea na kutii amri kutoka mamlaka ya kiraia.
 
IGP anampigia DC salute ndio maana DC ni mwakilishi wa Rais na ndio maana anapeperusha bendera ya Taifa
 
Swala la mtu kuwa Askari haimaanishi atapiga salute kwa kila mtu. Salute zina sheria zake za nani atapigiwa salute na nani. So kabla hujafanya conclusion fanya uchunguzi kwanza.
Nlifikiri wee uliesema salute zina sheria ndio ungetaja hizo sheria badala yakulalamika
 
Back
Top Bottom