Kiprotokali IGP anampigia saluti DC?

Kiprotokali IGP anampigia saluti DC?

Ukiachana na neno IGP kumbuka tu kwamba Huyo ni askari hata kabla hajaanza kuitwa IGP, askari anatakiwa kumpigia saluti Amiri jeshi mkuu pamoja na wateule wake wote(DC,RC,PM, Ministers n.k).

Kingine wabunge nao wanapigiwa saluti, majaji wanapigiwa saluti, marehemu yeyote anapigiwa saluti.

Kwa mantiki hiyo Askari akiwa IGP uaskari unabaki pale pale na anaendelea kumheshimu Rais na wateule wake including DC.
una uhakika?
 
maswali kama haya huwa yanaulizwa na watoto wa shule za msingi, nje ya hapo ni ujinga.
 
Wewe mkorofi,protokali ya wapi?Nchi gani? Kwani mambo yote yanayotokea kisasa yanaprotokali inayoeleweka?Hapa ni mwendo wa utashi na upepo ili tuwahi viwanda. PASIPO NA SEMINA ELEKEZI PANAKUWA NA?
 
Back
Top Bottom