Mr pianoman JF-Expert Member Joined May 22, 2019 Posts 2,644 Reaction score 6,466 Feb 10, 2022 #1 Wahenga maisha yanabadilika kwa kasi mno. Leo hapo bila kuongeza sifuri mbele hupati kitu [emoji1787][emoji1787]
Wahenga maisha yanabadilika kwa kasi mno. Leo hapo bila kuongeza sifuri mbele hupati kitu [emoji1787][emoji1787]
Jasmoni Tegga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2020 Posts 13,481 Reaction score 26,388 Feb 10, 2022 #2 Hii itakuwa ni kwenye mgahawa mashuhuri uko California Marekani, AMOUNTS IN US DOLLARS!
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 348,894 Reaction score 1,251,906 Feb 11, 2022 #3 kweli kabisa enzi hizo maandazi yalikua sh. 10
Usher-smith MD JF-Expert Member Joined Jul 7, 2015 Posts 9,576 Reaction score 12,371 Feb 11, 2022 #4 Kipindi nipo sekondari [emoji2] soda 150/-
Slim5 JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 28,441 Reaction score 38,419 Feb 11, 2022 #5 Mademu kukutana nao mpk atumwe Sokoni ama Buchani kama sio Jumapili baada ya Ibada
MIXOLOGIST JF-Expert Member Joined Mar 1, 2016 Posts 15,555 Reaction score 39,227 Feb 11, 2022 #6 Papuchi ilikua bei gani?
mbenda said JF-Expert Member Joined Apr 13, 2019 Posts 1,083 Reaction score 2,098 Feb 11, 2022 #7 MIXOLOGIST said: Papuchi ilikua bei gani? Click to expand... Buleeeee
Shadeeya JF-Expert Member Joined Mar 12, 2014 Posts 52,078 Reaction score 126,193 Feb 11, 2022 #8 Aisee!! Sema nini mbali na gharama kuwa ndogo bado walikuwepo ambao walikuwa wanaona ni bei kubwa pia hiyo.
Aisee!! Sema nini mbali na gharama kuwa ndogo bado walikuwepo ambao walikuwa wanaona ni bei kubwa pia hiyo.
Fall Army Worm JF-Expert Member Joined Jan 8, 2015 Posts 19,371 Reaction score 14,515 Feb 11, 2022 #9 Nimekumbuka ule wimbo wa "Mola rudisha hii dunia iwe kama ile ya zamani".