Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,092
Uongo mbaya, Diplomasia ya nchi yetu kipindi cha JK ilikuwa next level ndani ya Afrika. Sasa hivi tumekuwa too local huku tukimtegemea mtu mwenye arrogance ya usomi kuwa kiongozi wa diplomasia yetu.
Diplomasia ina misingi yake, huwezi kuwa kwa sababu wewe ni profesa basi ukiingia kwenye meza za mazungumzo basi unataka kuproject ile sense kwamba "Mimi nimesoma, mimi ninajua kukuzidi, kaa kimya nisikilize niongee nikufundishe", Diplomasia haiko hivyo.
Hebu msikilize JK hapa akiarticulate mipango na mikakati ya kiuchumi ya nchi.
Diplomasia ina misingi yake, huwezi kuwa kwa sababu wewe ni profesa basi ukiingia kwenye meza za mazungumzo basi unataka kuproject ile sense kwamba "Mimi nimesoma, mimi ninajua kukuzidi, kaa kimya nisikilize niongee nikufundishe", Diplomasia haiko hivyo.
Hebu msikilize JK hapa akiarticulate mipango na mikakati ya kiuchumi ya nchi.