Kipindi cha Uswazi: ni ajabu, angalia!

Kipindi cha Uswazi: ni ajabu, angalia!

Jumong S

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
7,427
Reaction score
10,749
Kuna talents nyingi sana. Kwa sasa kuna mtu anacheza juu ya baiskeli wimbo wa Awilo huku anatembea na baiskeli juu ya ringi. Kumbuka baiskeli imesimama na anahojiwa kakaa juu ya taili bila kuweka stand. Pia anaendesha baiskeli akiwa kasimama juu ya stand.Ni ajabu sana na sio ndumba! Jamaa ana talent nyingi. Pia kuna mmoja aliwahi kutengeneza helikopta ya kiswazi ila inaruka kawaida!

Je,wizara ya michezo na utamaduni inawasadiaje hawa?
Wahusika mko wapi kutunza talents hizi?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Uswazi kuna watu wanatumia akili na talents zao kutafuta maslahi, si hawa wanaolazimisha utajiri wa kubeba sembe za watu na kujibandika Instagram kwamba they are all about money si umbea. Mwisho wa siku, kila kitu hadharani.
 
kweli jamaa ni noma!bora tungeachana na mpira wa mguu,ambao umeshatushinda cku nyingi!tukawekeza huko,.kweli uswazi noma,hongera zembwera,kwa kuibua vipaji.
 
Kweli mpira wa miguu tunalazimisha. Kuna siku Moro nilikuta mtu anatembea juu ya waya anavaa suruali,anacheza na kofia,anacheza na chupa juu ya kijiti mdomoni huku anatembea juu ya waya.
Mwingine nikamkuta anapita ndani ya ringi za moto! Lakin hakuna anaewajali

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kipindi niko shule ya mtalo/msingi kulikuwa na vikundi vingi vya michezo. Watu wanaruka sarakasi kali,wanaendesha baiskeli ya taili 1,wanakula chupa zilizovunjika n.k sijui waliishia wapi. BASI WIZARA YA MICHEZO IBADILI JINA iwe WIZARA YA MPIRA TU kama inashindwa kuinua michezo mingine!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kipindi niko shule ya mtalo/msingi kulikuwa na vikundi vingi vya michezo. Watu wanaruka sarakasi kali,wanaendesha baiskeli ya taili 1,wanakula chupa zilizovunjika n.k sijui waliishia wapi. BASI WIZARA YA MICHEZO IBADILI JINA iwe WIZARA YA MPIRA TU kama inashindwa kuinua michezo mingine!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
mmmmh!!!, ya kweli haya ndugu (kenye red)
 
Kuna talents nyingi sana. Kwa sasa kuna mtu anacheza juu ya baiskeli wimbo wa Awilo huku anatembea na baiskeli juu ya ringi. Kumbuka baiskeli imesimama na anahojiwa kakaa juu ya taili bila kuweka stand. Pia anaendesha baiskeli akiwa kasimama juu ya stand.Ni ajabu sana na sio ndumba! Jamaa ana talent nyingi. Pia kuna mmoja aliwahi kutengeneza helikopta ya kiswazi ila inaruka kawaida!

Je,wizara ya michezo na utamaduni inawasadiaje hawa?
Wahusika mko wapi kutunza talents hizi?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Talents nchi hii zimejaa sana. Viongozi serikalini hawana muda wa kugundua na kuendeleza vipaji ila wana muda wa kutengeneza dili kwenye mikataba. Mtaalamu aliyebobea wa magonjwa ya moyo alishindwa kupata msaada itakuwa huyo
anayening'inia kwenye baiskeli! Viongozi tanzania kama vichaa vile!
 
mitaani kuna vijana wengi sana wana vipaji tofauti tofauti lakini wanashindwa wafanyeje ili wakuze vipaji vyao.
 
kweli jamaa ni noma!bora tungeachana na mpira wa mguu,ambao umeshatushinda cku nyingi!tukawekeza huko,.kweli uswazi noma,hongera zembwera,kwa kuibua vipaji.

Mkono mtupu haulambwi mkuu, ukiona mtu amekomalia hata kitu kisicho na maslahi kwa taifa ujue kina maslahi kwake binafsi.
 
Kuikweli if our government should focus USWAZI....kuna vipaji vingi as I can say Tanzanian we are skilled and innovative,creative sanaa but we lack government support and capital....instead we focus ktk vitu visivyo hata na impact. Kenya inatambulika kimichezo sana ktk swala la ukimbiji mbio ndefu,embu tuangalie Tanzania tunatambulika kwa lipi? Lets be serious with our talents....
 
I think tunaweza pia tukaingia kwenye world Guinness awards kwa kuwa we have a unique talented People.
 
Mwisho tutasema Ngedele nao wana vipaji wanakunywa hadi soda
 
Back
Top Bottom