MarkHilary
JF-Expert Member
- Feb 8, 2015
- 1,761
- 2,027
Elimu ya kizazi hiki ishatupwa chooni... Mungu atatuuliza kuhusu hili siku moja
Salute boss!Teachers are discouraged by the community, teachers are paid less, what do you expect?. Lakini pia wanaidai serikali hela ya likizo, mishahara ,matibabu na masomo. Walimu hawana morality sijui ni mgomo baridi
Na hivi wanavyoambiwa kuwa wanasoma bure sidhani kuwa hata wanajua Tanzania ina mikoa mingapi eti kiongozi anasema watoto wanasomeshwa bure ..kweli NA UNATEGEMEA NINIHuuu ukweli aiseee hawa ndo wanachosha yaan mtu anaulizwa hata Africa Mashariki ina nchi ngapi,ila yuko form four hakujui
Hii hata mi nilishangaa sana, nikawaza hizi shule watoto wanaenda kukua au kujifunzaJana kuna mwanafunzi kaambiwa aandike neno "psychology" kaandika "cycorogy"
Comrade, Umeshalamba mchuzi?.tunafny mishe za wasio na elim ss ile morali ya kusom inapungua sn.
Dira!MKUU HIKI KIZAZI KILISHAJIFIA NDUGU.WATOTO KUANZIA MIAKA YA 1995 NI PASUA KICHWA.NCHI NAYO IMEPOTEZA DILA KATIKA KUANDAA VIJANA MAKINI.