1995 sio watoto mkuu.MKUU HIKI KIZAZI KILISHAJIFIA NDUGU.WATOTO KUANZIA MIAKA YA 1995 NI PASUA KICHWA.NCHI NAYO IMEPOTEZA DILA KATIKA KUANDAA VIJANA MAKINI.
Mbona zipo mkuu, mfano nina dada angu kamaliza chuo.. Education lkn bada ya kutoajiliwa anatengeneza mikologo... Mwingin my braza WA kitaa amesoma education lkn yupo gerejin anaunga pancha za magarii... My blood braza kasoma agribusiness pale sua lkn anahangaika na vijiwe vya chips.... Mwenyew first year public relations and marketing lkn nawaza kuwa wakala wa mpesa kwa hela ya Boom... Sasa izi kazi zote zinafanywa na watu ambao hawana elim... Ko ile morali ya kusoma kwa wengin inapungua pia.. Labda jamaa amemanisha ivComrade, Umeshalamba mchuzi?.
Mishe za waso na Elimu ni zipi?. Na wenye Elimu ni zipi?.
Karibu tufunzane.
Ahsante Kifimbocheza kwa wachafuzi wa Lugha.Dira!
Na wakitaka kuwanyoosha wananyoosheea vidole kuwa wamepiga watoto wao mara wafukuzwe.Teachers are discouraged by the community, teachers are paid less, what do you expect?. Lakini pia wanaidai serikali hela ya likizo, mishahara ,matibabu na masomo. Walimu hawana morality sijui ni mgomo baridi
Siku hizi elimu haina amsha amsha, hakuna debate baina ya shule na shule yani imekosa hamasa ile ya zamani.So sad Comrade!
Ukiitizama kipindi hiki kwa jicho la tatu utagundua mapungufu mengi mno kama ulivyojibainisha. Gharama ya Elimu ni ndogo sana ukifananisha na gharama ya Ujinga. That is the reality.
Wizara husika ina haja ya kulitazama hili kwa mapana sana. Kuna walakini mkubwa sana kwa wanfunzi wetu. Pia wazazi kwa ujumla tulitizame hili kwa ufanisi na udodosi wa hali ya juu sana. Tu-deal na sababu na si matokeo ya kufaulu na kuendelea mbele kwa mwanafunzi.
Namfikiria sana yule mgombe aliyesema.
Elimu.
Elimu.
Elimu.
Aliwaza mbali sana. Kunahitajika mapinduzi ya hali ya juu mno katika hili.
HAHAHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHA,Kuna siku mwanafunzi nadhani ni wa kidato cha tatu au pili, aliulizwa, mkusanyiko wa viti na meza pale sebuleni kwao, kwa jina moja kwa lugha ya english vinaitwaje? akasema vinaitwa vegetable.
Hapana Comrade!Umeandika kwa uchungu sana
Comrade espy , I Salute You.Watu wa kwanza kulaumiwa ni wazazi then ndio makundi mengine yanafuatia.
Nakumbuka kipindi nipo shule ya msingi baba alikuwa anakuja na magazeti nyumbani(yale ya kujenga) na ni lazima tuyasome maana atatuuliza maswali. Na kipindi cha taarifa ya habari ni lazima tuangalie. Wakati mwingine anatuuliza maswali magumu kuhusu mambo yanayoendelea nchini lakini ilitusaidia kuwa na taarifa sahihi kwa wakati sahihi.
Watoto wa sasa hivi wanafuatilia mambo ya kipuuzi tu maana hawana muongozo. Hebu tuanze kwanza na kundi la wazazi wajikite ktk kutoa malezi sahihi kwa watoto wao.