screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,916
- 15,974
Hiki kipindi kwakweli huwa sielewi logic yake, naonaga ni kama maigizo zaidi kuliko reality. Hivi huyo muandaaji anakuwa anajuaje kwamba fulani na fulani hawapatani huko mitaani? Na je kama ni kweli hawapatani unawapatanishaje watu kwenye kamera?