tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 25,972
- 25,364
TBC1 ni televisheni ya Taifa, hivyo tunatarajia vipindi vyenye manufaa kwa Taifa la Tanzania kuonyeshwa kwenye 'televisheni ya Taifa'.
Kuna kipindi kimoja kinaitwa CHEREKO ambacho kimekuwa kikirushwa kupitia TBC1 kwa muda sasa. Hivi kipindi hiki kinaifundisha nini jamii hasa? Ni kina nani walengwa wa kipindi hiki?--maana sijawahi kumuona wife wala babysitter akitazama hiki kipindi. Hata mtoto wangu wa kindergaten sijawahi kumuona akitazama kipindi husika.
Kwa sababu elimu ya watoto wetu iko taabani, nashauri kipindi hiki kifutwe, kwa kuwa hakina tija kwa taifa, badala yake vipindi vinavyohusu taaluma (kama vile vinavyoandaliwa na kuonyeshwa Star TV) vichukue nafasi yake.
Nawaza tu.
Kuna kipindi kimoja kinaitwa CHEREKO ambacho kimekuwa kikirushwa kupitia TBC1 kwa muda sasa. Hivi kipindi hiki kinaifundisha nini jamii hasa? Ni kina nani walengwa wa kipindi hiki?--maana sijawahi kumuona wife wala babysitter akitazama hiki kipindi. Hata mtoto wangu wa kindergaten sijawahi kumuona akitazama kipindi husika.
Kwa sababu elimu ya watoto wetu iko taabani, nashauri kipindi hiki kifutwe, kwa kuwa hakina tija kwa taifa, badala yake vipindi vinavyohusu taaluma (kama vile vinavyoandaliwa na kuonyeshwa Star TV) vichukue nafasi yake.
Nawaza tu.