BIG THINKER
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 680
- 1,420
Watu wengi wanakuja na polojo zao kuhusu kipimo Cha maisha,Leo mm nakuletea kipimo HALISI Cha maisha ya mafanikio.
Tukumbuke Kuna mafanikio ya aina tatu
1.kimwili.
2.kiroho.
3.Kinafsi.
1. MAFANIKIO KIMWILI
Kipimo Cha mafanikio kimwili hupimwa kwa kuchukua watu 1000 na kuwauliza nn matamanio Yao 10 ya kimwili ambayo Kila Mmoja anatamani apate kwenye hayo unachukua matamanio 10 yaliyotajwa na wengi.
Watu watataja gar, nyumba, nk
Ili mtu aonekane amefanikiwa ni yule mwenye vitu VINGI kati ya hivyo vitu 10 vilivyotajwa na wengi.
Hivyo Leo ww Ili ujipime kwenye maisha yako kama umefanikiwa jiulize ni vitu gan 10 ukiwauliza watu 1000 wanavitaman watavitaja sana kama una hivyo vitu kumi ww umefanikiwa kimwili.
2.MAFANIKIO KIROHO
nakuja kwanza niangalie mechi ya yanga.
Yanga ikifungwa huu Uzi unaishia hapa.
Tukumbuke Kuna mafanikio ya aina tatu
1.kimwili.
2.kiroho.
3.Kinafsi.
1. MAFANIKIO KIMWILI
Kipimo Cha mafanikio kimwili hupimwa kwa kuchukua watu 1000 na kuwauliza nn matamanio Yao 10 ya kimwili ambayo Kila Mmoja anatamani apate kwenye hayo unachukua matamanio 10 yaliyotajwa na wengi.
Watu watataja gar, nyumba, nk
Ili mtu aonekane amefanikiwa ni yule mwenye vitu VINGI kati ya hivyo vitu 10 vilivyotajwa na wengi.
Hivyo Leo ww Ili ujipime kwenye maisha yako kama umefanikiwa jiulize ni vitu gan 10 ukiwauliza watu 1000 wanavitaman watavitaja sana kama una hivyo vitu kumi ww umefanikiwa kimwili.
2.MAFANIKIO KIROHO
nakuja kwanza niangalie mechi ya yanga.
Yanga ikifungwa huu Uzi unaishia hapa.