Gotze Giyani
Senior Member
- Feb 28, 2022
- 121
- 180
Wadau habari za mida hii, poleni na jukumu la kujenga taifa kwa wale wapambanaji tuu. Nisiwe na mambo mengi niingie kwenye maada.
Mwaka mmoja una siku zaidi ya 365, kila mmoja huku kajiwekea malengo yake, ila kuweka malengo ni jambo moja na kufikia malengo ni jambo lingine. Na sisi Watanzania wengi sana, tena unakuta ni msomi tuu, mwaka mzima hujafanya kitu chochote cha maana na hela unakuta unapata hata kama ni kidogo.
Wadau, tatizo huwa nini eti?
Naomba nijibiwe na wanaojielewa tuu, ni project hii kazini nimeahidiwa mpunga mrefu hivyo kama hujui kitu kaa pembeni, endelea kusindikiza watu tuu kwenye maisha.
Karibuni wadau.
Mwaka mmoja una siku zaidi ya 365, kila mmoja huku kajiwekea malengo yake, ila kuweka malengo ni jambo moja na kufikia malengo ni jambo lingine. Na sisi Watanzania wengi sana, tena unakuta ni msomi tuu, mwaka mzima hujafanya kitu chochote cha maana na hela unakuta unapata hata kama ni kidogo.
Wadau, tatizo huwa nini eti?
Naomba nijibiwe na wanaojielewa tuu, ni project hii kazini nimeahidiwa mpunga mrefu hivyo kama hujui kitu kaa pembeni, endelea kusindikiza watu tuu kwenye maisha.
Karibuni wadau.