Fuata hayo maelezo uliyopewa huko hospital, ni kwamba upo salama kwa sasa, rudi tena huo Muda ulopangiwa Ila acha ngono zembeWalimueleza kuwa yupo negative aje tenaabaada ya mwezi mmoja
Pia asante kwa maelekezo mkuu .
Kauli kama hizo ndio zinautwa unyanyapa muhusika hata ka majibu yangekuwa HIV positive huwezi kumwambia ana umeme grade ya taifa.tuwe wastaraabu jamani.Mkuu hii sio kauli nzuri kabisa. Kuna mambo unaweza kutumia kauli hizi za kilevi lakin sio kwa suala kama hili, kwani ukimjibu kiustarabu utapungukiwa nn? Sio vizuri ndugu.
Hiv rapid test atumie sd bioline hiv1/2 3.0 ndio kipimo kilichopo kwenye national allogarthm kwa sasa kama sd bioline itatoa positive asirudie sd bioline tena bali atafute ungold a comfirm majibu yake kama yatatoka negative basi asitumie sd bioline ya box hilo tena afungue box jingine na achukue cassete nyingine apime pia anaweza kaa siku 14 halafu arudie tena kama ina muwia vigumu pm me nitamfanyia test hizo pia nitaongea nae tuliweke sawaHabarini za hasubuhi wana jf
Ninandugu yangu hana raha mpaka sasa kutokana na kipimo cha HIV
Alienda kupima HIV navile vipimo vya kawaida cha kwanza kili react lakini cha chapili kilikuwa kinasoma negative
Yaan haioneshi ku react sasa anawasiwasi na jibu sahii lakupokea nilipi
Positive or negative ??
Tafadhali kwa wataalamu naombeni ushauri wenu tuweze msaidia mpendwa huyu
Natanguliza shukraan.
Kwa nini nae kaenda kujitia presha na haya mavipimo yasiyona uhakika??binafsi watanipima ukimwi nikiwa hoi kitandani na nisijue kama wamenipima.Habarini za hasubuhi wana jf
Ninandugu yangu hana raha mpaka sasa kutokana na kipimo cha HIV
Alienda kupima HIV navile vipimo vya kawaida cha kwanza kili react lakini cha chapili kilikuwa kinasoma negative
Yaan haioneshi ku react sasa anawasiwasi na jibu sahii lakupokea nilipi
Positive or negative ??
Tafadhali kwa wataalamu naombeni ushauri wenu tuweze msaidia mpendwa huyu
Natanguliza shukraan.
Huuu ndio uhuni wa vipimo vya ukimwiMkuu maabara ukipimwa kipimo cha kwanza kikionesha utata i.e kuchora 2 lines wanarudia na kipimo cha aina nyingine. Nacho kikionesha 2 lines basi confirmed. Ila kikileta utata as kikichora 1 line then unaenda kwenye kipimo kikubwa zaidi kinachoweza kutoa majibu even within the window period.
So for this case ni vyema muhusika akaenda kwenye hospitali zinazotoa huduma ya kipimo kikubwa