Hao HIV Virus ulishawahi kuwaona..???Naona wewe ujui unachokiandika(HIV ni aina ya virus ambavyo vipo na vyaweza leta upungufu wa kinga mwilini.na UKIMWI hapo upo sawa ni upungufu wa kinga mwilini ambao mtu anaweza kuwa nao hata akipatwa na malaria typhoid na magonjwa mengine kadhaa.HIV ni kifupisho cha maneno human immunodefiency virus sawaman mvua.
Kwani kuna ugumu gani kuendelea na vipimo? Ngoma kupima ni bure,apime hata mara 10 kujihakikishiaHabarini za hasubuhi wana jf
Ninandugu yangu hana raha mpaka sasa kutokana na kipimo cha HIV
Alienda kupima HIV navile vipimo vya kawaida cha kwanza kili react lakini cha chapili kilikuwa kinasoma negative
Yaan haioneshi ku react sasa anawasiwasi na jibu sahii lakupokea nilipi
Positive or negative ??
Tafadhali kwa wataalamu naombeni ushauri wenu tuweze msaidia mpendwa huyu
Natanguliza shukraan.
Kwan wewe ulikua unataka lipi
Hunakwahiyo ukiandikiwa non-react inamaanisha nini