Kipima Joto ITV upuuzi mtupu

Kipima Joto ITV upuuzi mtupu

Wachaga wamejenga kila kona Tanzania hii ila hawakubali makabila mengine kujenga kwao ni wabinafsi na roho mbaya
Kama unataka kujenga nenda kaoe huko, utajenga hata nyumba kumi kuitaka.
 
Naangalia kipindi cha kipima joto ITV, nashindwa kuwaelewa wanawasemea UKAWA! Wanalaumu wanasiasa wakati wao wanapiga siasa. Kipindi kama hicho kingechanganya watoa mada wanaoponda na wale waliopitisha katiba pendekezi. Nashangaa sana vyombo vya habari vya Mhe. REGINALD MENGI vimekua mstari wa mbele kuwakingia vifua wanaohujumu amani ya nchi hii. Kama policy ya IPP ni kuunga mkono upinzani basi ijiweke wazi zaidi na sio kujifanya kichaka cha wahaini wa nchi hii.
Mna bore, mko biased sana.

Wacha uPUMBAVU wewe,,,!! NCH hii ina AMANI kutoka wapi,,halafu nyie watu waKIJANI mbona mnawaogopa sana UKAWA,,,mnalalamikia Media za IPP nyie cmna kile vipeperushi vyenu TBCCCM,UHURU,e c t,,, !! au mnatamani wote wafikiri kutoka kwenye maKWAPA yenu wacheni ujinga NCH hii niyetu sote,,,!!
 
TUNA KAZ WATZ,HATA WALE WENYE UWEZO WAKUTUMIA MTANDAO HAWANA UTASHI?,MTU ANALALAMIKA KUWA WAACHAGA WANAJENGA KILA SEHEMU ILA HAWATAKI MTU AJENGE KWAO,NAOMBA UTHIBITISHO MAANA VIJANA WANAPENDA KUPARAMIA HOJA NA PUPA,tulishasema vijana weng siku hiz ni wavivu wa kufikir ndio maana wanapenda majibu marahis.watu wanasema wachaga wachaga ili hatauchagan hajafika,umaskin wako ndo unakunyima kujenga uchagan kama una hela sema upate nyumba au kiwanja.
 
Yaani Taifa letu linaonekana kupoteza dira kwa kuwa watu wenye uelewa mdogo kama wewe.
Ukweli mnataka watu waubadili kuwa uongo

Ukitaka uongo uwe unaangalia taarifa za TBC1 huko ndiyo mahala pake

ITV ndiyo kituo pekee kinachoeleza hisia za kweli za watanzania bila kupendelea.
Fanya uchunguzi na utabaini ukweli wa haya.
Acha kukurupuka na wanaccm wengi ndo mnalaumu sana matangazo ya ITV kwa sababu ya upofu wenu juu ya hisia za wananchi wengi juu ya hali halisi ya mambo hapa nchini.
 
Wachaga wamejenga kila kona Tanzania hii ila hawakubali makabila mengine kujenga kwao ni wabinafsi na roho mbaya

Evidence please!Kuwa analytical kidogo.Kukusaidia ardhi ni finyu na ghali sana uchagani" hivyo wapo waliojenga ila kwa gharama kubwa
 
Naangalia kipindi cha kipima joto ITV, nashindwa kuwaelewa wanawasemea UKAWA! Wanalaumu wanasiasa wakati wao wanapiga siasa. Kipindi kama hicho kingechanganya watoa mada wanaoponda na wale waliopitisha katiba pendekezi. Nashangaa sana vyombo vya habari vya Mhe. REGINALD MENGI vimekua mstari wa mbele kuwakingia vifua wanaohujumu amani ya nchi hii. Kama policy ya IPP ni kuunga mkono upinzani basi ijiweke wazi zaidi na sio kujifanya kichaka cha wahaini wa nchi hii.
Mna bore, mko biased sana.

Afadhali ITV ni tv binafsi, je,vipi TBC television ya Taifa inayoendeshwa kwa kodi ya wananchi inapotumiwa na ccm peke yake na kueneza propaganda za uongo dhidi ya upinzani? Ni lini katika Tbc ambapo wapinzani na ccm walikaa pamoja na kujadili mada kama ya katiba mpya? Tangu mwanzo watetezi wa hiyo inayoitwa katiba inayopendekezwa ndio waliitwa tbc kuhojiwa na haijawahi kutokea UKAWA wakaitwa tbc kuelezea mitazamo yao. Hivyo acha unafiki wewe.
 
Juzi kulikuwa na kipindi cha malumbano ya hoja hapo hapo Itv na asilimia 90 ya wahudhuriaji walitoka kwenye taasisi moja yenye mahaba na ccm,na hata muongozaji wa kipindi fatma almasi nyangasa alikuwa pale kwa lengo moja tu!la kuhakikisha kuwa ccm haisemwi vibaya,na alimkemea waziwazi yeyote aliyepinga ccm,aliwagombeza wchangiaji waziwazi kwa kwenda kinyume na mawazo yake!! Ulikitazama kipindi hicho? Au kuna Itv mbili?
 
Naangalia kipindi cha kipima joto ITV, nashindwa kuwaelewa wanawasemea UKAWA! Wanalaumu wanasiasa wakati wao wanapiga siasa. Kipindi kama hicho kingechanganya watoa mada wanaoponda na wale waliopitisha katiba pendekezi.

Nashangaa sana vyombo vya habari vya Mhe. REGINALD MENGI vimekua mstari wa mbele kuwakingia vifua wanaohujumu amani ya nchi hii.

Kama policy ya IPP ni kuunga mkono upinzani basi ijiweke wazi zaidi na sio kujifanya kichaka cha wahaini wa nchi hii.
Mna bore, mko biased sana.

Ndugu yangu uwe na aibu, watz wote tunaona jinsi mnavyotumia TBC kwa manufaa ya ccm wakati inaendeshwa na kodi za wote. Hiyo ITV ni kituo binafsi na sidhani kwamba kuna mwanaccm au aliyepitisha hiyo rasimu huko bungeni aliyekatazwa kwenda hapo kwenye mjadala. Kumbuka chama chenu cha ccm ndio mabingwa wa kukimbia midahalo na hilo liko wazi, na hata mnapokwenda kwenye midahalo mara nyingi hamna hoja zaidi ya kuleta vitisho kwamba watu wanataka kuharibu amani ya nchi. Na udhaifu wa ccm kwamba ukweli unaposemwa ndio utaharibu amani ya nchi wote mnajifichia hapo bila kujua nyinyi haswa ndio mko tayari kuharibu amani ya nchi kwani hamko tayari kuambiwa ukweli.

Hebu tuambieni wanaotaka kuharibu amani ya nchi ni itv kwa kuruhusu mijadala ya wazi yenye fikra huru na za ukweli ama nyinyi mnaobadilisha maoni ya wananchi kwa faida za chama chenu? mmefikia mpaka mahali mmelazimisha kuvunja sheria ili mpate akidi ya kupitisha matakwa yenu huku mkilitumia jeshi la polisi katika kupitisha kile ambacho watanzania hawakukiwakilisha kwenye tume ya kisheria ya kukusanya maoni.
 
Kimsingi na kwa mtu anayetumia akili ya kawaida ataelewa kazi itv wanayoifanya katika kumuelewesha yule mtanzania wa kawaida ambaye hawezi kuipitia proposed katiba kipengele kwa kipengele, ninachoomba mabaraza kama haya kwa media zetu yawe mengi ili watanzania wakawaida waelimike japo kidogo. Ccm lazima waelewa kuwa kuna kundi kubwa la watanzania wamesoma na wanaelewa kinachoendelea, ninawasihi waelekeze nguvu zao nyingi vijijini ambapo uelewa na access ya media ni dogo ili wasije wakapoteza kabisa. Aliyetoa hii mada anajiaibisha.
 
Unatafuta nini ITV wakati kuna TBC inayo edit mpaka maoni ya wananchi na kuweka yale ambayo yapo yanaifagilia serikali, katika ulimwengu wa sasa kama unaogopa changamoto huwezi endelea na hoja hizi za kila kitu ni uvunjifu wa amani ndizo zinazohamasisha amano kutoweka maana kila kitu amani itatoweka
 
Na wewe fungua kituo chako cha TV afu jipime joto ujione kama na wewe ni biased au based..!!

Usiniwaze kama huwezi kujiwaza.
 
Naangalia kipindi cha kipima joto ITV, nashindwa kuwaelewa wanawasemea UKAWA! Wanalaumu wanasiasa wakati wao wanapiga siasa. Kipindi kama hicho kingechanganya watoa mada wanaoponda na wale waliopitisha katiba pendekezi.

Nashangaa sana vyombo vya habari vya Mhe. REGINALD MENGI vimekua mstari wa mbele kuwakingia vifua wanaohujumu amani ya nchi hii.

Kama policy ya IPP ni kuunga mkono upinzani basi ijiweke wazi zaidi na sio kujifanya kichaka cha wahaini wa nchi hii.
Mna bore, mko biased sana.

MbonaKipindi cha dakik arbaini na tano husemi wachanganye watu MACCM yanakaa kuhakikisha yanaponda upinzani
 
Ikipita siku sijaangalia ITV,nakosa uhuru.TBC ishakuwa ya cha kimoja,bado tu kubadilishwa jina na kuitwa Chama Tawala.
 
Naangalia kipindi cha kipima joto ITV, nashindwa kuwaelewa wanawasemea UKAWA! Wanalaumu wanasiasa wakati wao wanapiga siasa. Kipindi kama hicho kingechanganya watoa mada wanaoponda na wale waliopitisha katiba pendekezi.

Nashangaa sana vyombo vya habari vya Mhe. REGINALD MENGI vimekua mstari wa mbele kuwakingia vifua wanaohujumu amani ya nchi hii.

Kama policy ya IPP ni kuunga mkono upinzani basi ijiweke wazi zaidi na sio kujifanya kichaka cha wahaini wa nchi hii.
Mna bore, mko biased sana.


vipi mbona tbc inasapoti wafilisi wa nchi hii?
 
Wachaga wamejenga kila kona Tanzania hii ila hawakubali makabila mengine kujenga kwao ni wabinafsi na roho mbaya
Hawa watu bhana wana uelewa wa kutosha, ndo maana wanafanya hivo, sasa wakiacha, si TZ litakuwa pori? Hawa ni watu wa maendeleo ndo maana hata kwenye siasa, ni wengi pia. Sasa wewe ulete mtu wa Tabora au Tunduru huko au kwa Komba, anajua nini kuhusu maendeleo? Kwao tu wanashindwa kuendeleza, itakuwaje wakipewa nchi. JK mwenyewe basi tu kapewa nchi kimagumashi, nenda kwao uone, watu wapowapo tu.
 
Back
Top Bottom