ITV kumkaribisha Dkt. Marcus Albanie wa CHADEMA katika kipindi cha Kipima Joto ni jambo la kupongezwa

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,840
141,763
Jana ITV walimualika kamanda wa Chadema Dr Marcus Albanie kwenye kipindi cha Kipima Joto kilichohudhuriwa pia nu CAG mstaafu CPA Uttoh.

Kwa kipindi kirefu makamanda wa Chadema hawajaonekana katika vipindi vya Malumbano ya Hoja na Kipima Jotto kama tulivyozoea na badala yake wamekuwa wakialikwa makada waliokosa teuzi pekee ili wauze nyago.

Hongereni ITV na hasa Isack Mpayo na Julieth Robert.

Ramadhan Kareem!
 
Jana ITV walimualika kamanda wa Chadema Dr Marcus Albanie kwenye kipindi cha Kipima Joto kilichohudhuriwa pia nu CAG mstaafu CPA Uttoh

Kwa kipindi kirefu makamanda wa Chadema hawajaonekana katika vipindi vya Malumbano ya Hoja na Kipima Jotto kama tulivyozoea na badala yake wamekuwa wakialikwa makada waliokosa teuzi pekee ili wauze nyago.

Hongereni ITV na hasa Isack Mpayo na Julieth Robert.

Ramadhan Kareem!
P
 
P
Umefufuka bro? Dikteta kaondoka, alikusababishia ukabadili upepo, ukaanza kusifu na kuabudu nawewe
 
Jana ITV walimualika kamanda wa Chadema Dr Marcus Albanie kwenye kipindi cha Kipima Joto kilichohudhuriwa pia nu CAG mstaafu CPA Uttoh

Kwa kipindi kirefu makamanda wa Chadema hawajaonekana katika vipindi vya Malumbano ya Hoja na Kipima Jotto kama tulivyozoea na badala yake wamekuwa wakialikwa makada waliokosa teuzi pekee ili wauze nyago.

Hongereni ITV na hasa Isack Mpayo na Julieth Robert.

Ramadhan Kareem!
Una nia njema sana na nchi yako.
 
Jana ITV walimualika kamanda wa Chadema Dr Marcus Albanie kwenye kipindi cha Kipima Joto kilichohudhuriwa pia nu CAG mstaafu CPA Uttoh

Kwa kipindi kirefu makamanda wa Chadema hawajaonekana katika vipindi vya Malumbano ya Hoja na Kipima Jotto kama tulivyozoea na badala yake wamekuwa wakialikwa makada waliokosa teuzi pekee ili wauze nyago.

Hongereni ITV na hasa Isack Mpayo na Julieth Robert.

Ramadhan Kareem!
Kaka Marcus is real brain asset
 
Jana ITV walimualika kamanda wa Chadema Dr Marcus Albanie kwenye kipindi cha Kipima Joto kilichohudhuriwa pia nu CAG mstaafu CPA Uttoh

Kwa kipindi kirefu makamanda wa Chadema hawajaonekana katika vipindi vya Malumbano ya Hoja na Kipima Jotto kama tulivyozoea na badala yake wamekuwa wakialikwa makada waliokosa teuzi pekee ili wauze nyago.

Hongereni ITV na hasa Isack Mpayo na Julieth Robert.

Ramadhan Kareem!
Mfu angekuwa angekuwepo hata kuwaza kumharika wasingewaza.
 
Umefufuka bro? Dikteta kaondoka, alikusababishia ukabadili upepo, ukaanza kusifu na kuabudu nawewe
Kati ya watu walioshusha hadhi yao ya kuaminika tena Tanzania ni huyu Mayala. Tatizo la huyu ni kwamba anapendaga kuaminika kila upande na hata ukisikiliza hoja zake, hawezi kuonyesha kwa ujasiri kuwa upande fulani una makosa kwa asilimia mia moja. Huyu naamini hata marehemu ndiyo maana alishindwa kumwaamini
 
P
Kipindi cha Jiwe ulikengeuka mkuu ukahamia upande wa kusifu na kuabudu, nisiwe mnafiki bro ulijishushia hadhi sana humu jamvini. Sidhani kama unaweza kuaminika tena na kurudia vile viwango vyako. Pascal Mayalla = Covid - 19(wale binadamu)
 
Back
Top Bottom