MT KILIMANJARO
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 4,215
- 761
Naangalia kipindi cha kipima joto ITV, nashindwa kuwaelewa wanawasemea UKAWA! Wanalaumu wanasiasa wakati wao wanapiga siasa. Kipindi kama hicho kingechanganya watoa mada wanaoponda na wale waliopitisha katiba pendekezi. Nashangaa sana vyombo vya habari vya Mhe. REGINALD MENGI vimekua mstari wa mbele kuwakingia vifua wanaohujumu amani ya nchi hii. Kama policy ya IPP ni kuunga mkono upinzani basi ijiweke wazi zaidi na sio kujifanya kichaka cha wahaini wa nchi hii.
Mna bore, mko biased sana.
Kwani umelazimishwa kuangalia ITV angalia star tv au tbccm kwani huko utapata unachopenda kama kumsifia 6 na rasimu yake.