Naangalia kipindi cha kipima joto ITV, nashindwa kuwaelewa wanawasemea UKAWA! Wanalaumu wanasiasa wakati wao wanapiga siasa. Kipindi kama hicho kingechanganya watoa mada wanaoponda na wale waliopitisha katiba pendekezi.
Nashangaa sana vyombo vya habari vya Mhe. REGINALD MENGI vimekua mstari wa mbele kuwakingia vifua wanaohujumu amani ya nchi hii.
Kama policy ya IPP ni kuunga mkono upinzani basi ijiweke wazi zaidi na sio kujifanya kichaka cha wahaini wa nchi hii.
Mna bore, mko biased sana.
Nashangaa sana vyombo vya habari vya Mhe. REGINALD MENGI vimekua mstari wa mbele kuwakingia vifua wanaohujumu amani ya nchi hii.
Kama policy ya IPP ni kuunga mkono upinzani basi ijiweke wazi zaidi na sio kujifanya kichaka cha wahaini wa nchi hii.
Mna bore, mko biased sana.