Kweli hapo patamuu!!! Mmasai kavamia disco.Haya sasa chama cha wakristu na cha waislam wameungana. CCM mmebaki na wapagani, wachawi na mafisadi. UKAWA imewapiga chenga na kuua propaganda zenu zote.
Mwambie abarikiwe, watanzania tunamuombea.Bramo mtoa hoja uliyebandika andiko lako kwa maoni yake kwenye kipindi hiki cha kipima joto amesoma na amecheka sana, ni kweli kabisa tukaze buti.
Wakuu JF,
Naangalia kipima.joto ITV.
Kuna mtu mmoja kwa kweli amenifanya nipate usingizi mnono sana.
Amesema wana Israel walikaa Utumwani kwa Miaka Sabini,ndani ya Wana wa Israel kulikuwa na kabila dogo sana la watu wachache waliokuwa wanajulikana Sons of Isaack yaan watoto wa Isaka ambao ndio walikuja na suluhu ya kuwatoa wana wa Israel kutoka utumwani Mpaka kwenye nchi ya asali na maziwa, huyu mtu ametufananisha wa Tanzania wana wa Israel na UKAWA kama Sons of Isaack.
Muwe na usiku mwema.
Pamoja na kuwa nakubaliana na UKAWA ila nashindwa kupata usahihi wa kimaandiko kuhusu hao wana wa Isaka kuwa ndani ya watoto wa Israeli. Nijuavyo mimi Isaka ni mtoto wa Ibrahimu alyezaa watoto wawili mapacha, Yakobo na Esau. Yakobo baadaye alipewa jina la Israeli na Mungu na ndio maana watoto wake wale 12 wakaitwa wana wa Israeli. Hakukuwa na suluhu yoyote ya kuwatoa wana wa Israeli, ila ulikuwa ni mpango wa Mungu kupitia kwa mtumishi wake Musa mwana wa ukoo wa Lawi.
cc: umumura; Edward Sambai; Danny Jully; Fukara; kenonke
Nenda katoe sadaka tena kubwa sana ila ipo siku utaijutia hiyo sadaka.
Wewe tatizo lako hujasoma biblia umedokoa tu biblia au umesoma biblia ile iliyopunguzwa vitabu. ubishi sijazoea lakini meseji umeipata.
Katika maisha yangu nilikua najiambia kila siku mungu wape nguvu vyama vya upinzani viungane! Naiuhakika mungu amesikia kilio changu! Long live ukawa! Mungu awape nguvu muendelee kushikana!
Kwenye ile Safari ya wana wa Israeli Intarahamwr kama nyie pia walikuwako ambao kimsingi waliangamia na Farao kwenye bahari ya Sham.
Amen Aleluyah Amen! Ukombozi kwa waliopumbazwa kwa miaka 50 umekaribia! MUNGU usiache kutenda haki mwaka 2015!
Umeguswa na nini cha ajabu kwenye hili dunia inawatu wa ajabu kweli yani unaguswa na ukawa kweli majanga.
Nenda katoe sadaka tena kubwa sana ila ipo siku utaijutia hiyo sadaka.