JET SALLI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,993
- 2,034
Kweli nchi hii ELIMU inafanyiwa uhuni wa ajabu sana mtu hata uongeaji wake utadhani hakuingia darasani,huyu bwana ni mpuuzi kuliko upuuzi wenyewe.
Hajui anaongea kutoka wapi na anaelekea wapi,anaongelea democrasia ambayo wao na Redet yao ni wanaoongoza kununuliwa na kufanya mizaha ktk demokrasia.
Kweli nchi zetu huwezi jua msomi ni yupi na asiye msomi ni yupi.
Hajui anaongea kutoka wapi na anaelekea wapi,anaongelea democrasia ambayo wao na Redet yao ni wanaoongoza kununuliwa na kufanya mizaha ktk demokrasia.
Kweli nchi zetu huwezi jua msomi ni yupi na asiye msomi ni yupi.