You can make a good research from our neighbors Kenya, they have just made it, if is possible in Kenya why not in Tanzania?? The same or more will apply in Tanzania
Freetown heshima mbele!!!!
Ni aibu na upuuzi kulinganisha uchumi wa Kenya na wa Tanzania.... angalia wenzetu walivyotikishwa na issue ya Kibaki na Raila... lakini uchumi ulisimama imara... angalau uchumi wao ulivyotikiswa na issue ya mafuta na mtikisiko wa uchumi dunianai lakini bado uchumi ukawa imara.
In short... our priority sasa hivi ingekuwa kuhudumia uchumi kwanza usimame ndio tuongelee huduma za jamii kwa wingi...
Sasa angalia bado njia kuu za uchumi ziko duni, bandari, reli, angani, barabara mifumi ya kisheria ya biashara (legal framework).
Lakini wanasiasa wetu kwa sababu wanajua sisi wajinga... wanaahidi sehemu ambazo tutawapigia makofi...
In short i don't agree with any candidates kwenye hili.... matokeo yake hawa wanataka tuwe ombaomba daima milele.... NO to KIKWETE NO to LIPUMBA and NO to SLAA.
my rule of thamb "Economic Services" first then "Social Services"; hao wengine wanaoweza ni kwa sababu ya kutumia hii rule kwanza.
Sera za huduma za jamii bure ni changa la macho kwa Watanzania... it is the only brigde to take opposition to the front seat... thus why they use it, it is not b'se they believe in it.
1. Mtu anakuambia tutauza ndege ya Rais kutoa elimu bure... ndege ya Rais moja ita-handle running cost za wizara ya elimu kwa muda gani?
2. Mtu anasema nchi ina rasilimali nyingi... upuuzi... yaani madini ambayo hayajachimbwa tayari umeweka kwenye bajeti ya matumizi
3. Mtu anasema tutarekebisha mikataba... unajua kwa sheria za kimataifa mikataba iliyoko ni halalili?
Please nyie mnaopenda urais... acheni kutudanganya.,