binafsi napinga elimu ya bure... Huku nikurudisha watu nyuma... The priority now should be improving quality of education... Hizi elimu za bure will endup getting nothing.
Napenda wanasiasa wakweli.
"kila mtu ataubeba mzigo wake mwenye" - c. D. Msuya.
yawezekana ukawa uko sahihi kwa mtazamo wako. Lakini sisi tulisoma bure na elimu tuliyopata ni bora, kwa sasa sio bure na elimu ni ya kusuasua, SI UMESIKIA TAARIFA YA WATAFITI MAJUZI KUHUSU ELIMU YA MSINGI. Hautaki habari njema ila unataka udanganywe ndipo ukubali ndg yangu aaah, samahani mheshimiwa,maana ndivyo mnavyotaka kuitwa siku hizi, enzi zetu ilikuwa ni ndugu; juzi nimemsikia mgombea wa chama tawala anasema ametekeleza ahadi kwa asilimia mia,
halafu watu wanashangilia, sijui ni upunguani, uzezeta au Watanzania tumelogwa na kupofushwa macho,
tunaoelewa tunaona na tunajua barabara ambazo rais mtaafu Mkapa alisema ifikapo 2006 zitakuwa zimeisha, leo hii 2010 niandikapo ujumbe huu hazijaisha, lakini Ben pesa aliacha, kwa nini hazijaisha majibu ni ngonjera mpaka asb; watu wanakula mpaka chakula cha wagonjwa kwa ulafi wao, leo wanaokataa elimu na afya bure wao wenyewe walisoma bure enzi za Mwl. NYERERE walisafirishwa bure na serikali . Elimu ilisimamiwa kwa umakini wa hali ya juu. Enzi zetu ilikuwa fedheha kusoma private school, kusoma shule za serikali ilikuwa ni
ujiko. lakini sasa ccm wamechakachua shule za serikali leo kusoma private ni heri. shule za kitaifa leo limebaki jina kila kitu ktk shule hizo taabu tupu. Tunataka mtu atakayesema inatosha.
Naomba ondoa kichwani mwako neno haliwezekani kwani lisilowezekana kwako kwa mwingine linawezekana.
Nawaomba watanzania wenzangu (kasheshe and ccm members inclusive) tuwape wapinzani nafasi ya utawala, wakishindwa we vote them out. I think this is the dew time to put ccm aside and let us put someone else to the chair and see his performance.
We have to change our mind set. Ama sivyo tutaendelea kulia na tusisahau fimbo za ccm zinatuchapa wote hasa sisi raia wa kawaida.
Nimezaliwa tanzania, nimekulia tanzania, nitafia tanzania na kuzikwa tanzania muda wangu ulipangwa na mungu utakapofika hapa ndio kwetu
naipenda tanzania nawapenda watanzania