Hatimaye wananchi wamewaumbuwa wale waliotaka kuwaaminisha kuwa ahadi ya kutoa Elimu na Afya Bure kuwa Haiwezekani..!!
Waliosema inawezekena ni Asilimia 81%. Hila za CCM kwisha kabisa....!
2010 HATUDANGANYIKI...!
Freetown heshima mbele!!!!
Ni aibu na upuuzi kulinganisha uchumi wa Kenya na wa Tanzania.... angalia wenzetu walivyotikishwa na issue ya Kibaki na Raila... lakini uchumi ulisimama imara... angalau uchumi wao ulivyotikiswa na issue ya mafuta na mtikisiko wa uchumi dunianai lakini bado uchumi ukawa imara.
In short... our priority sasa hivi ingekuwa kuhudumia uchumi kwanza usimame ndio tuongelee huduma za jamii kwa wingi...
Sasa angalia bado njia kuu za uchumi ziko duni, bandari, reli, angani, barabara mifumi ya kisheria ya biashara (legal framework).
Lakini wanasiasa wetu kwa sababu wanajua sisi wajinga... wanaahidi sehemu ambazo tutawapigia makofi...
In short i don't agree with any candidates kwenye hili.... matokeo yake hawa wanataka tuwe ombaomba daima milele.... NO to KIKWETE NO to LIPUMBA and NO to SLAA.
my rule of thamb "Economic Services" first then "Social Services"; hao wengine wanaoweza ni kwa sababu ya kutumia hii rule kwanza.
Sera za huduma za jamii bure ni changa la macho kwa Watanzania... it is the only brigde to take opposition to the front seat... thus why they use it, it is not b'se they believe in it.
1. Mtu anakuambia tutauza ndege ya Rais kutoa elimu bure... ndege ya Rais moja ita-handle running cost za wizara ya elimu kwa muda gani?
2. Mtu anasema nchi ina rasilimali nyingi... upuuzi... yaani madini ambayo hayajachimbwa tayari umeweka kwenye bajeti ya matumizi
3. Mtu anasema tutarekebisha mikataba... unajua kwa sheria za kimataifa mikataba iliyoko ni halalili?
Please nyie mnaopenda urais... acheni kutudanganya.,
hata mimi nilifurahia sana matokeo ya utafiti huo, nawapongeza ITV maana hawajaficha kama taasisi zingine, sasa nimeamini kumbe
tupo wengi na inawezekana, nikusahihishe kidogo ni asilimia 87 ndo walisema ndio, tuendelee kuchanja mbuga..
Nilifurahi kuona hivyo kwenye TV hv kwanini ccm wanaona haiwezekani na wanachi tunaona inawezekana!??
ni kwa sababu viongozi wa ccm ni mbumbumbu, walafi-mafisadi na upeo wao wa kufikiri umeshafikia ukomo. Hata wakipewa matrilioni ya dola hawawezi kuzipangilia vyema. Na wakiendelea kutawala hata kwa miaka 100 ijayo hali haitabadilika kuwa bora bali nchi itaendelea kuharibika kwa kiwango cha hali ya juu sana.
yawezekana ukawa uko sahihi kwa mtazamo wako. Lakini sisi tulisoma bure na elimu tuliyopata ni bora, kwa sasa sio bure na elimu ni ya kusuasua, SI UMESIKIA TAARIFA YA WATAFITI MAJUZI KUHUSU ELIMU YA MSINGI. Hautaki habari njema ila unataka udanganywe ndipo ukubali ndg yangu aaah, samahani mheshimiwa,maana ndivyo mnavyotaka kuitwa siku hizi, enzi zetu ilikuwa ni ndugu; juzi nimemsikia mgombea wa chama tawala anasema ametekeleza ahadi kwa asilimia mia, halafu watu wanashangilia, sijui ni upunguani, uzezeta au Watanzania tumelogwa na kupofushwa macho, tunaoelewa tunaona na tunajua barabara ambazo rais mtaafu Mkapa alisema ifikapo 2006 zitakuwa zimeisha, leo hii 2010 niandikapo ujumbe huu hazijaisha, lakini Ben pesa aliacha, kwa nini hazijaisha majibu ni ngonjera mpaka asb; watu wanakula mpaka chakula cha wagonjwa kwa ulafi wao, leo wanaokataa elimu na afya bure wao wenyewe walisoma bure enzi za Mwl. NYERERE walisafirishwa bure na serikali . Elimu ilisimamiwa kwa umakini wa hali ya juu. Enzi zetu ilikuwa fedheha kusoma private school, kusoma shule za serikali ilikuwa ni ujiko. lakini sasa ccm wamechakachua shule za serikali leo kusoma private ni heri. shule za kitaifa leo limebaki jina kila kitu ktk shule hizo taabu tupu. Tunataka mtu atakayesema inatosha.binafsi napinga elimu ya bure... Huku nikurudisha watu nyuma... The priority now should be improving quality of education... Hizi elimu za bure will endup getting nothing.
Napenda wanasiasa wakweli.
"kila mtu ataubeba mzigo wake mwenye" - c. D. Msuya.
enzi zetu ilikuwa fedheha kusoma private school, kusoma shule za serikali ilikuwa ni ujiko.