Kitandanikwetu
Member
- Jul 27, 2012
- 18
- 2
Wana chitchat mamboz, wengi wenu humu mna familia na wengine hamna mpo single, hebu sema ni kitu gani unapenda kukiona nyumbani kwako urudipo kazini au mihangaikoni, me kwa ujumla napenda' kwanza nikute wanangu wako safi, wamekula na wanafuraha, pili nguo zao zote ziwe zimefuliwa na nyumba iwe safi na vyote vinavyohitaji usafi viwe safi.
Je! Mwana jf mwenzangu, we wapendani?
Je! Mwana jf mwenzangu, we wapendani?