MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,264
- Thread starter
- #81
Huoni kuwa huu ni unafiki uliopitiliza kwa hawa viongozi wa CHADEMA kutumia picha ya kiongozi wanayemfahamu kuwa ni muongo na mdanganyifu na alilidanganya taifa kwa muda mrefu na taifa limeendelea "kudanganyika".Kuna utofauti mkubwa kati ya baba wa Taifa na Baba wa chama cha mapinduzi.
Hapa picha ya J.K.Nyerere imetumika kama Baba wa Taifa na Mjane wake hapa anawakilisha taswira ya uasisi wa Taifa.
Hakuna anayekatazwa kutumia jina au picha ya baba wa Taifa kwa maslahi ya Taifa ilihali tu asivunjiwe heshima.