Kipi ni chuo bora cha IT Tanzania ?

Kipi ni chuo bora cha IT Tanzania ?

unaweza ukasoma shule ya kata na ukafaulu vizuri cha msingi ni wewe mwenyewe utakavyojiwekea ndivyo utakavyokuwa bora na fani yako,hivyo nakuambia vyuo vyote vinafanana ila malengo yako ndo yatakayokukomboa

Unachosema na sahihi lakini kwa upande mwingine kwani hujui kama mtaa unaoishi uaathiri maisha yako?nachotaka kusema nji kwamba mazingira ya chuo nikimanisha kwanza access na information,vitendea kazi na walimu walio bora wanachangaia sana kwa mwanafunzi kuwa vizuri provided other factors remain constant.

Anayasoma networking bila kufanya au kwenda kwenye production environment hawezi lingana na anayeifanya practical.So mazingira yanachangia sana na kinachofuata ni bidii ya mtu binafsi kama ulivyosema.

Kumbuka mwalimu wako atakufundishe kile yeye anachokijua,kuna tofauti ya kufundishwa na mwalimu amabaye anavijua vitu theoretically na hajawahi kufanya kazi katika nyanja hiyo na ukifundishwa na mtu ambaye alifanya kazi na anakufundisha mambo yaliyoko kwenye production environment na si kwenye vitabu na simulations only.
 
MBINU ZINATOSHA KUKUTOA,pale ulipo ktk mwanga mdogo na kuwa mtaalamu sana wa it
 
Nikuwambie ukweli nduugu yangu kadili ya uzoefu wangu wa kufanya kufanya kazi na graduands mbalimbali wa IT, naweza kusema nimefurahishwa sana na ueledi wa wale waliotoka RUCO au Mzumbe. Vyuo vingine wanakuja ofisini kwangu na degree ya IT lakini mimi ambaye nimejifunzia computer mtaani nawazidi ujunzi...kazi ni kwako. Kama kweli unataka kupata ujuzi, nenda huko, na nadhani hao watu wa RUCO
Unawazidi ujizi kwa koformat computer na kuchonga cable kwa ajili ya kupin kwenye RJ 45? Ha ha ha asikuambie mtu degree ina heshima yake. Wewe jifariji hivyo hivyo
 
Endeleeni kubishana chuo kipi kizuri badala ya kuwa wabunifu
 
Tatizo kila mtu anasifia chuo alichosoma yeye....
Teh teh
Hii na yenyewe ni shida..!!!?
Akili za kuambiwa, changanya na zako....

nimekupata ndg yng, lakin vipi umeshaviskia vyuo hivi?Aptech/Unique academy au LearnIT? je hivi mnavizungumziaje
 
Kwa hapa Tanzania usitegee kuwa IT expert kwa kukaa darasani tu haitatokea. Piga unap0ona pana uafadhali afu ji0ngeze mwenyewe mambo mengine. Huo ndio ukweli.
 
nenda st joseph pale luguruni wazee wapo deep sana bt diploma yao ni miaka mitatu
 
Wakuu mnasemaje kuhusu Chuo cha The Unique Academy?
 
RUCO na Mzumbe.. hahaha sikiliza wengine wote ila aliyesema RUCO na MZUMBE usimfikirie kabisa....
Sijasoma IT ila nimesoma Computer Science so najua khs IT vzr tu, i can tell u jamaa waliosoma IT hasa Mzumbe wako so shallow..

I recommend DIT
RUCO wana shida gani?
 
Na IT mnaenda vyuoni wakati kina Zuckerberg, Gates n.k waliona ujinga

-Google
-YouTube

Ndio vinakufaa Acha kupoteza hela;
Ingekuwa udaktari, uakimu, urubani, ningekuelewa lakini IT. Lakini kama unataka kusomea tafuta chuo serious eti "unique" hahahahha wahindi hawa na ma vyuo yao
 
Tatizo kila mtu anasifia chuo alichosoma yeye....
Teh teh
Hii na yenyewe ni shida..!!!?
Akili za kuambiwa, changanya na zako....
sina background ya IT..
na wanasema No Research No Right to Speech...
ukihitaji ABCza Sheria (Law) njoo!
 
Chuo kizuri ni kusoma Online mkuu unajisomesha mwenyewe.

Huko Chuo unakwenda kutafuta cheti tu..
 
Back
Top Bottom