Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,144
- 166,077
Jamani je mwanamke akijua kukatika wakati wa majamboz ndio anajua mapenzi?
Vipi kama sio mwaminifu, hakujali, hakuthamini, hakutunzi na wala hakuthamini?
Anakutusi, anakusimanga na wakati mwingine anakuzaba vibao? Lakini mkiingia kitandani anakatika kama feni?
Vipi kama sio mwaminifu, hakujali, hakuthamini, hakutunzi na wala hakuthamini?
Anakutusi, anakusimanga na wakati mwingine anakuzaba vibao? Lakini mkiingia kitandani anakatika kama feni?